Tetesi: Babu tale amterekeza Chid benz

Alimdhihaki sana anayedhaniwa kuwa fisadi no. Tanzania..
 
Awe anambeba mgongoni, Na kumnywesha maziwa Na kijiko.

Yaani Mtu kwa ujinga wake mwenyewe ajitumbukize kwenye starehe aliyoichagua, halafu walaumiwe wengine kwa maisha aliyojichagulia. Bongo bwana!

Mtoa uzi network inaanza kupotea. Inabidi asiwe anakaa mbali na mnara.
 
Kwani yy ndio mama yake? Au baba yake?
 
apewe pesa, matibabu, malazi, apelekwe studio, atengenezewe video kali, na atufutiwe shoo kali za kitaifa na kimataifa..
Kha afanyiwe yote hayo ili wagundue nini kutoka kwa chidi?
 
Kwani kwenye sembe walikuwa wote, mbona hata hapo kamfanyia makubwa. Huyo Chid kwani alizaliwa kiotani, hana ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…