Mitchell JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 904 Reaction score 1,036 Sep 8, 2016 #41 Abunwasi said: Yeye alifanya hivyo kwa utashi wake lakini wewe hujazuiwa kuendeleza pale alipoacha 'KUTOA NI MOYO' Click to expand... umemaliza mkuu
Abunwasi said: Yeye alifanya hivyo kwa utashi wake lakini wewe hujazuiwa kuendeleza pale alipoacha 'KUTOA NI MOYO' Click to expand... umemaliza mkuu
2hery JF-Expert Member Joined May 27, 2011 Posts 4,700 Reaction score 4,625 Sep 8, 2016 #42 Alimdhihaki sana anayedhaniwa kuwa fisadi no. Tanzania..
mpita-njia JF-Expert Member Joined Dec 3, 2010 Posts 1,734 Reaction score 1,616 Sep 8, 2016 #43 King'asti said: Awe anambeba mgongoni, Na kumnywesha maziwa Na kijiko. Yaani Mtu kwa ujinga wake mwenyewe ajitumbukize kwenye starehe aliyoichagua, halafu walaumiwe wengine kwa maisha aliyojichagulia. Bongo bwana! Click to expand... Mtoa uzi network inaanza kupotea. Inabidi asiwe anakaa mbali na mnara.
King'asti said: Awe anambeba mgongoni, Na kumnywesha maziwa Na kijiko. Yaani Mtu kwa ujinga wake mwenyewe ajitumbukize kwenye starehe aliyoichagua, halafu walaumiwe wengine kwa maisha aliyojichagulia. Bongo bwana! Click to expand... Mtoa uzi network inaanza kupotea. Inabidi asiwe anakaa mbali na mnara.
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 14,239 Reaction score 15,876 Sep 8, 2016 #44 Kwani yy ndio mama yake? Au baba yake?
124 Ali JF-Expert Member Joined Apr 25, 2010 Posts 7,813 Reaction score 5,514 Sep 8, 2016 #45 algorithim said: apewe pesa, matibabu, malazi, apelekwe studio, atengenezewe video kali, na atufutiwe shoo kali za kitaifa na kimataifa.. Click to expand... Kha afanyiwe yote hayo ili wagundue nini kutoka kwa chidi?
algorithim said: apewe pesa, matibabu, malazi, apelekwe studio, atengenezewe video kali, na atufutiwe shoo kali za kitaifa na kimataifa.. Click to expand... Kha afanyiwe yote hayo ili wagundue nini kutoka kwa chidi?
MNYAMAKAZI JF-Expert Member Joined Oct 7, 2014 Posts 2,118 Reaction score 2,195 Sep 8, 2016 #46 Kwani kwenye sembe walikuwa wote, mbona hata hapo kamfanyia makubwa. Huyo Chid kwani alizaliwa kiotani, hana ndugu?
Kwani kwenye sembe walikuwa wote, mbona hata hapo kamfanyia makubwa. Huyo Chid kwani alizaliwa kiotani, hana ndugu?