Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Tunaofanya burudani za viwanjani tumekuwa tukipigia sana simu Babu zetu vijijini wazuie mvua, katika hotuba ya Waziri sijaona akisema ujenzi wa Sports Arena, hakuna msanii asiyejua kama mimi ndiyo naongoza kufunga mvua, Waziri naomba unipunguzie hii kazi".
======
Mbunge wa Morogoro Kusini, Khamisi Taletale amesema huwa anawapigia simu wazee vijijini ili wazuie mvua kuruhusu shughuli za kimziki ziendelee.
Amesema Hotuba ya Waziri wa Ujenzi haijazungumzia kujenga Viwanja vya Michezo na Burudani hali ambayo itamfanya yeye aendelee na kazi ya kuendelea kuomba wazee wafunge mvua ili kufanya shughuli za Burudani.
Amemuomba Waziri ampunguzie kazi hiyo kwa kuwa yeye ndiye anayeongoza kufunga mvua nchini.
======
Mbunge wa Morogoro Kusini, Khamisi Taletale amesema huwa anawapigia simu wazee vijijini ili wazuie mvua kuruhusu shughuli za kimziki ziendelee.
Amesema Hotuba ya Waziri wa Ujenzi haijazungumzia kujenga Viwanja vya Michezo na Burudani hali ambayo itamfanya yeye aendelee na kazi ya kuendelea kuomba wazee wafunge mvua ili kufanya shughuli za Burudani.
Amemuomba Waziri ampunguzie kazi hiyo kwa kuwa yeye ndiye anayeongoza kufunga mvua nchini.