Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio kosa lake bali ni , elimu, elimu, elimu, na ufahamu mdogo wa mambo.Walio karibu nae wamshauri mda mwingine awe anakaa kimya maana
Mbona msukuma wa la7 c anachambua vzuriMkuu sio kosa lake bali ni , elimu, elimu, elimu, na ufahamu mdogo wa mambo.
Hivi unaijua arena ?Mkuu sio kosa lake bali ni , elimu, elimu, elimu, na ufahamu mdogo wa mambo.
Aliposimama alizungumzia kuhusu arena tu?!!hayo mambo ya jina la rais, na kuzuia mvua, umeyaacha wapi?kifupi hana uwezo wa kujenga hoja, na ni kutokana na kiwango chake cha elimu , hivyo tutegemee mengi tu, siku zote elimu haina janja janja, kuna sehemu utakwama tu,
Msukuma anachambua vizuri wapi??ni wale wale tu, kinachowatofautisha ni uzoefu tu, ndio unamsaidia lakini kuna hoja gani ya msingi alishawahi kuijenga na kuitetea?Mbona msukuma wa la7 c anachambua vzuri
Baridi hana maslahi nalo inavyooneshaAzuie na baridi Matombo, Mahenge, Arusha, Lushoto, Mufindi, Makete, Njombe na Mbinga.
Shukurani!
Everyday is Saturday................................😎
🤣Awali niliposikia tetesi kuwa mwanaccm mwenzangu na mbunge wa Morogoro kusini babu Tale kuwa ni mchawi niliwabishia na kuwaambia Tale ni mwanamazingaombwe.
Lakini leo yeye mwenyewe babu Tale ndani ya bunge amekiri kuwa mara nyingi amekuwa akizuia mvua isinyeshe na mazao yanyauke ili mradi tu timu za mpira wa miguu zicheze na vijana wanaocheza kamari mikeka yao iweze kujibu.
Ama kwa hakika uchawi upo unaumiza wakulima kwa sababu ya kamari?
Niishie hapo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabunge wa ccm wapo peke yao Bungeni lakini wanajadili hoja za kijinga na mambo ya kitoto sana
Hakuna mbunge mwenye vision wa ccm Bungeni, Hawajui washike lipi na Waache wapi
Aina ya wabunge kama hao walienda Bungeni kimkakati kwa ajili ya kubadili katiba
Hakuna mbunge anayewaza lini Tanzania tutakuwa na kiwanda cha magari yetu ya umeme wa jua
Hakuna mbunge anayewaza kubadili chuo chetu Cha Muhimbili au udsm kuwa centre za utafiti na uvumbuzi wa chanjo za magonjwa ya virusi
Kazi kubwa wanayoweza Bunge hili ni kuvamia misiba, Kukata mauno, na kujadili Mbowe na Chadema
Hawana Forecast
Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
Wallah atasema tyuuh, ni suala la muda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bunge la vibungiTunaofanya burudani za viwanjani tumekuwa tukipigia sana simu Babu zetu vijijini wazuie mvua, katika hotuba ya Waziri sijaona akisema ujenzi wa Sports Arena, hakuna msanii asiyejua kama mimi ndiyo naongoza kufunga mvua, Waziri naomba unipunguzie hii kazi".
======
View attachment 1805289
Mbunge wa Morogoro Kusini, Khamisi Taletale amesema huwa anawapigia simu wazee vijijini ili wazuie mvua kuruhusu shughuli za kimziki ziendelee.
Amesema Hotuba ya Waziri wa Ujenzi haijazungumzia kujenga Viwanja vya Michezo na Burudani hali ambayo itamfanya yeye aendelee na kazi ya kuendelea kuomba wazee wafunge mvua ili kufanya shughuli za Burudani.
Amemuomba Waziri ampunguzie kazi hiyo kwa kuwa yeye ndiye anayeongoza kufunga mvua nchini.