Babu Tale amuomba Waziri ampunguzie kazi ya kuzuia mvua

Hivi unaijua arena ?

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Aliposimama alizungumzia kuhusu arena tu?!!hayo mambo ya jina la rais, na kuzuia mvua, umeyaacha wapi?kifupi hana uwezo wa kujenga hoja, na ni kutokana na kiwango chake cha elimu , hivyo tutegemee mengi tu, siku zote elimu haina janja janja, kuna sehemu utakwama tu,
 
Azuie na baridi Matombo, Mahenge, Arusha, Lushoto, Mufindi, Makete, Njombe na Mbinga.
Shukurani!

Everyday is Saturday................................😎
Baridi hana maslahi nalo inavyoonesha
 
Taletale leo amekubali mbele ya bunge ye ni mchawi wa kufunga mvua kuhusu kumtoa mke wake kafara anakataa hakuna uchawi bila kafara aache ujinga.


Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
🤣
 
Huyo ndiye Komredi Khamis Tale!!

Uzalendo wake kwa mila na tamaduni za mwafrika ni mkubwa kupita kiasi....

Vijana wanapiga Pesa kupitia juhudi zake hizo......asipuuzwe kabisa 🤣

#SiempreCCM
#KaziIendelee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bunge la vibungi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa morogoro kusini wamelamba hasara kua na mbunge mbumbumbu kama huyu Tale ...hajawahi kuongea point toka alivyoingia bungeni ni porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…