wcb anapata ugali mtamu na safari za hapa na hapa tena uko wcb hatoki mtuu labda afanye mtuu makosa makubwa kama aliyo yafanya kisura aka kifesi na Q boy msafi
Meneja wa Tiptop amekuwa Madee, sasa ulitaka Tale aendelee kummanage Dogo Janja ili apate nini? Mtoto mwenyewe hata hela ya kununua sidiria ya Uwoya haipati