Babu Tale Kuitelekeza Tip Top na kujiweka WCB amecheza kama pele.. bata za WCB si mchezo

Babu Tale Kuitelekeza Tip Top na kujiweka WCB amecheza kama pele.. bata za WCB si mchezo

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
mashabiki wengi wa muziki wa bongo fleva tunamjua babu tale kama meneja wa tip top... wasanii kama madee, tundaman, dogo janja, keisha na wengineo wote wapo chini ya babu tale...


ila bosi baada ya kupata kauchochoro WCB kaamua kuitelekeza kabisa Tip top na kukomaa na WCB kama yake vile....

kiukweli huu ni uamuzi wa kiume sana na wa busara ameufanya kwa maisha yake na hata familia yake...

kweli zama hizi ukomae na tundaman, madee au dogo janja umuache diamond ambaye safari za nje ya nchi za kumwaga, biashara za karanga na ma perfume.. mara redio mara tv... yaani kula sehemu ni hela tu...

mwanzoni nilikuwa namshangaa babu tale ila now nimeelewa hata ningekuwa mimi tip top na kina tundaman wangenisamehe tu kiroho safi ningewatelekezaaa
 
mashabiki wengi wa muziki wa bongo fleva tunamjua babu tale kama meneja wa tip top... wasanii kama madee, tundaman, dogo janja, keisha na wengineo wote wapo chini ya babu tale...


ila bosi baada ya kupata kauchochoro WCB kaamua kuitelekeza kabisa Tip top na kukomaa na WCB kama yake vile....

kiukweli huu ni uamuzi wa kiume sana na wa busara ameufanya kwa maisha yake na hata familia yake...

kweli zama hizi ukomae na tundaman, madee au dogo janja umuache diamond ambaye safari za nje ya nchi za kumwaga, biashara za karanga na ma perfume.. mara redio mara tv... yaani kula sehemu ni hela tu...

mwanzoni nilikuwa namshangaa babu tale ila now nimeelewa hata ningekuwa mimi tip top na kina tundaman wangenisamehe tu kiroho safi ningewatelekezaaa


Hivi hata wewe mleta mada ukijiuliza, babu Tale ana manufaa gani kwa taifa au hata maisha yako, unapata jibu gani? Msipende kujipotezea muda vijana wa Dar, jitumeni jamani.
 
Hivi hata wewe mleta mada ukijiuliza, babu Tale ana manufaa gani kwa taifa au hata maisha yako, unapata jibu gani? Msipende kujipotezea muda vijana wa Dar, jitumeni jamani.
Bila shaka hizi enzi siyo zako hizi,kaa ulee wajukuu,hii ni celebrities forum mzee baba..
 
Hivi hata wewe mleta mada ukijiuliza, babu Tale ana manufaa gani kwa taifa au hata maisha yako, unapata jibu gani? Msipende kujipotezea muda vijana wa Dar, jitumeni jamani.
Naona umepotea jukwaa! Mkuu Malcom Lumumba, kuna cku nami nilipotea jukwaa nikajikuta nimetokezea kwenye uzi wa Kilimo cha Korosho by wewe!!

Nilisoma uzi, nikafurahi... nikataka kurudi baadae tujadili jambo... nikasahau!

Hebu mwalike huyu Mheshimiwa aje apate darsa murua pande hizo!!
 
Hivi hata wewe mleta mada ukijiuliza, babu Tale ana manufaa gani kwa taifa au hata maisha yako, unapata jibu gani? Msipende kujipotezea muda vijana wa Dar, jitumeni jamani.
tapatalk_1520617349478.jpeg

Bila shaka hizi enzi siyo zako hizi,kaa ulee wajukuu,hii ni celebrities forum mzee baba..
 
Kumbe umeshajitambua, hivi ndivyo inavyotakiwa si kukaa tu na kuendekeza visivyo na maana huku maendeleo yakikupita.
sSasa huyu babu mnamfagilia!!Kumbe mahakamani ilikuwa inamtafuta tena kumzingua mhubiri mafao yake !!
 
Kwahiyo imekuuma sana BabuTale kuwa star? Basi nenda akakuoe nawe uwe star


Soma kitu ili uelewe wewe dogo....nani aliyekuambia mimi nimeumia? Basha wako Babu Tale simjuwi namsikia tu mtandaoni, siuoni ustaa wake. Yaani kubeba mabegi na kuongozana na Diamond ni ustaa hapa Bongo siku hizi au?
 
Soma kitu ili uelewe wewe dogo....nani aliyekuambia mimi nimeumia? Basha wako Babu Tale simjuwi namsikia tu mtandaoni, siuoni ustaa wake. Yaani kubeba mabegi na kuongozana na Diamond ni ustaa hapa Bongo siku hizi au?
Mkuu wangu, unaweza kuwa sahihi kwamba Babu Tale sio celebrity lakini kumuita mbeba mabegi ya Diamond, ni kumkosea!!

Inafahamika Diamond ni hardworking lakini inawezekana pale alipo Tale kachangia sana!

Tanzania hii huwezi kutaja mameneja 3 wanaofahamu fitina za Bongo Flavor ukamwacha Babu Tale! In fact, yeye ni #2 after Said Fella ukitoa wale wanaofanya fitina kupitia media zao!

Tip: Hata US, ni lazima uzijue fitina za entertainment industry ndipo unaweza kuwa successful manager or succesful literary agent!


Na hata Diamond analifahamu hilo na ndio maana, baada ya kutokuwa na Meneja, akamfuata Babu Tale awe Meneja wake! By the time, Babu Tale alikuwa na Tip Top na Diamond alikuwa na Chifu kama Sponsor tu na sio meneja rasmi!

Babu Tale ndo akaanza kufanya kazi na Diamond enzi hizo akiwa at national level tu. Diamond alipozidi kuwa mkubwa, Tale hakufanya uchoyo! Tale mwenyewe akamfuata Said Fella, kubwa la fitina za Bongo Flavor, ili amsaidie kum-manage Diamond!!

Sallam ameingia kwenye timu ya Diamond wakati Diamond ameshakuwa mkubwa sana Afrika Mashariki! Tena alifika wakati Diamond keshafanya Number 1 Remix ft Diamond akiwa chini ya Babu Tale! Watu wanaamini ni Number 1 Remix ndio imempeleka Diamond kwenye anga za kimataifa...

Sallam akaanzia after Number 1 Remix na kum-push zaidi Diamond to international level kutokana na connection ambazo alikuwa nazo na Nigerian music industry!!
 
Back
Top Bottom