mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wanavyompangia maisha utafikiri akikosa hela ya mboga watamchangia.
Kwahiyo unapinga kwamba hizo mambo hawafanyi ''!? Achana na masuala ya kumtoa mtu kafara ..nazungumzia ushirikina tu ambao una husisha kafara za wanyama matunda au nafakaMkuu
Tale kama kweli unamfutilia ni mtu wa kutengeneza kiki, kwa mfano kama hiyo kauli ya kusema anatumia black magic aliisema makusudi ili timamu pinzani wapate cha kumzungumzia. Na kweli kama alivyokusudia wapuuzi wameingia king wazima wazima kias kwamba hata kujinasua hawawezi.
Na wewe ni shahidi , hiyo kauli imepelekea watu waongee hata wasiyoyajua kumhusu Tale.
Bana wewe eti black magic Kiki sisi wabongo na ushirikina, mwenyewe alikuwa mganga wa hizo mambo, though hyo ya mke not sure.Mkuu
Tale kama kweli unamfutilia ni mtu wa kutengeneza kiki, kwa mfano kama hiyo kauli ya kusema anatumia black magic aliisema makusudi ili timamu pinzani wapate cha kumzungumzia. Na kweli kama alivyokusudia wapuuzi wameingia king wazima wazima kias kwamba hata kujinasua hawawezi.
Na wewe ni shahidi , hiyo kauli imepelekea watu waongee hata wasiyoyajua kumhusu Tale.
Heshima ni jambo la muhimu sana lakini inapofikia mtu anadanganya watu hadharani, heshima inakaa kando.Mbona na wewe unapangia watu Cha ku comments na usichotaka waita ignorance, tuvumiliane na kuheshimiana tu basi
Punguza ujuaji, pambana kuweka maisha yako kwenye mstari.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nawee umekuja kuunga trailer haya uliyoandika [emoji115][emoji115]
Mbona na wewe hapa una discuss ya watu pia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]Watanzania tuna ujuaji mwingi.tuko bize na maisha ya mtu mwingine kuliko maisha yetu..
Mara ohooo kamtoa kafara mkewe ili ashinde ubunge sasa wewe inakuhusu nini?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ndyo tunawajua kuliko wanavojijua wao, kwan shida iko wapi? Celebs lazima wafuatiliwe kwan wee hujui hilo? AaaaaaaahMnajifanya mnawajua kuliko hata wanavyojijua wenyewe.
Heshimu gani yeye kakiri ni mganga ata mama mkubwa wake mganga Sasa wewe ni Nani kwenda kinyume na maneno yake mwenyewe, au umekuja kujisafisha huku baada ya mambo kuharibika yeye ndo kajivunjia heshima.Heshima ni jambo la muhimu sana lakini inapofikia mtu anadanganya watu hadharani, heshima inakaa kando.
Mbona na wewe hapa una discuss ya watu pia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]
Usingeingia hata hapa kusoma, upo upate umbeya tu[emoji23][emoji23]
Sio Moro mjini , Moro vijijini abood ni mbunge wa Moro mjini.Acha nicheke khaahaaaaaaaa haaaaaa uyo anajisumbua awezi kabisa kumtoa abood bus hapo Youngtong ndani ya nyumba labda aenda akagombanie samvura chore
Maisha yangu napambania yawepo kwenye line, ila sio 7bu ya kuto toa ukweli na uwazi juu ya jambo fulan hat km sio muhusika. KhaaaaaahPunguza ujuaji, pambana kuweka maisha yako kwenye mstari.
Usingeingia hata hapa kusoma, upo upate umbeya tu[emoji23][emoji23]
Humjui tale wewe kaa kimya.Heshima ni jambo la muhimu sana lakini inapofikia mtu anadanganya watu hadharani, heshima inakaa kando.
Acha u busybodyHumjui tale wewe kaa kimya.
Tale namjua ni mganga wa jadi Kama waganga wengine. Usitake tuandike ya sirini.
Narudia tena huna unalojua you better shut
Yoh' here mummified nothing in your head.Acha u busybody
Haswaaaa muambie huyo ajue, alaaaaahHumjui tale wewe kaa kimya.
Tale namjua ni mganga wa jadi Kama waganga wengine. Usitake tuandike ya sirini.
Narudia tena huna unalojua you better shut
Namsubiri kwa hamu. Tumfungue macho ya mjini.Haswaaaa muambie huyo ajue, alaaaaah