Wabongo uwa mnadhani meneja ndiye anagharamia msanii hapana haiko hivyo...habari wadau..
nimekutana na tunda man nikakumbuka ni msanii wa tip top na bosi wake ni babu tale...
naona bosi kama ana upendeleo vile.. nikitazama video za WCB ni za ukweli zinafanyika sana majuu.. na nikichek video za Madee, tundaman, dogo janja naona sio za kiwango cha kupigwa vituo vikubwa africa...
je bosi anapendelea au nae WCB hafanyi maamuzi yeyote ya video anajiganyia diamond tu???
hahaa mkuu mi naamin issue za pesa zote anasimamia diamondhabari wadau..
nimekutana na tunda man nikakumbuka ni msanii wa tip top na bosi wake ni babu tale...
naona bosi kama ana upendeleo vile.. nikitazama video za WCB ni za ukweli zinafanyika sana majuu.. na nikichek video za Madee, tundaman, dogo janja naona sio za kiwango cha kupigwa vituo vikubwa africa...
je bosi anapendelea au nae WCB hafanyi maamuzi yeyote ya video anajiganyia diamond tu???
Babu tale na Salaam wapo WCB kama waajiriwa tu. Kiufupi tale na Salaam ndio wanalipwa na diamond baada ya kutekeleza majukumu yao ya kila siku waliyopangiwa na Diamond. Kiufupi dogo Mond namuona kama Didy wa bongo vile jinsi anavyopiga hatua. Japo mm ni mzee wa riddim mix, Ila Mungu ampe uzima huyu kijana. Mpambanaji sana huyu kijana..
Mkuu wamiliki wa Wasafi ni Diamond,Tale,Sallam na Saidi Fela.Babu tale na Salaam wapo WCB kama waajiriwa tu. Kiufupi tale na Salaam ndio wanalipwa na diamond baada ya kutekeleza majukumu yao ya kila siku waliyopangiwa na Diamond. Kiufupi dogo Mond namuona kama Didy wa bongo vile jinsi anavyopiga hatua. Japo mm ni mzee wa riddim mix, Ila Mungu ampe uzima huyu kijana. Mpambanaji sana huyu kijana..