habari wadau..
nimekutana na tunda man nikakumbuka ni msanii wa tip top na bosi wake ni babu tale...
naona bosi kama ana upendeleo vile.. nikitazama video za WCB ni za ukweli zinafanyika sana majuu.. na nikichek video za Madee, tundaman, dogo janja naona sio za kiwango cha kupigwa vituo vikubwa africa...
je bosi anapendelea au nae WCB hafanyi maamuzi yeyote ya video anajiganyia diamond tu???
nimekutana na tunda man nikakumbuka ni msanii wa tip top na bosi wake ni babu tale...
naona bosi kama ana upendeleo vile.. nikitazama video za WCB ni za ukweli zinafanyika sana majuu.. na nikichek video za Madee, tundaman, dogo janja naona sio za kiwango cha kupigwa vituo vikubwa africa...
je bosi anapendelea au nae WCB hafanyi maamuzi yeyote ya video anajiganyia diamond tu???