Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mbunge wa Morogoro Kusini, Khamis Tale maarufu kama Babu Tale amesema ataleta gari aina ya V8 ya mwaka 2020 ili kuwashindanisha Hassan Mwakinyo na Twaha Kiduku
Maneno hayo ameyasema baada ya Twaha kumtwanga Dulla Mbabe kwa mara nyingine, huku lengo likiwa ni kupambana na Mwakinyo
Mwakinyo ameweka msimamo wake kuwa hatopambana na bondia wa ndani ya nchi lakini inaonekana wadau wanapenda kuona mpambano unatokea kati yao
Wadau wa Morogoro wanalalama kuwa lazima tuwe na mbabe mmoja nchini sio wawili
Kwa suala la uzito, Twaha alikubali kukata ili aufuate uzito wa Mwakinyo
Hela zinazidi miminika.
Je zichapwe!!!
Maneno hayo ameyasema baada ya Twaha kumtwanga Dulla Mbabe kwa mara nyingine, huku lengo likiwa ni kupambana na Mwakinyo
Mwakinyo ameweka msimamo wake kuwa hatopambana na bondia wa ndani ya nchi lakini inaonekana wadau wanapenda kuona mpambano unatokea kati yao
Wadau wa Morogoro wanalalama kuwa lazima tuwe na mbabe mmoja nchini sio wawili
Kwa suala la uzito, Twaha alikubali kukata ili aufuate uzito wa Mwakinyo
Hela zinazidi miminika.
Je zichapwe!!!