ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Daaa ukisikiliza hii clip unaweza ucheke Hadi uvunjike mbavu lakini Wabunge Vituko wa Hivi ambao ni entertainer ndio Watanzania Wanawapanda na Mi 5 watapata.🤣🤣🤣🤣🤣👇👇
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Taletale amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kukamilisha ujenzi wa barabara na ukarabati wa vituo vya afya vilivyopo kwenye jimbo lake kwa kuwa bado anatamani kuendelea kuwa mbunge.
"Rais kama utaondoka Morogoro haujaizungumza Ubena Zomozi - Ngerengere, hujaisema Bigwa Kisaki, mwanao tunaondoka wote, na mimi hii kazi naipenda mama na wewe unafahamu mimi ndio mziwanda wako mama,” amesema Taletale maarufu kwa jina la Babu Tale.
Amesema hayo Jumanne Agosti 6, 2024 wakati akitoa salamu kwenye mkutano wa hadhara unaofanyika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wakati Rais Samia akizindua miradi mbalimbali ndani ya mkoa huo.
Soma Pia: Kwa kuangalia historia na matendo ya Mbunge wako unadhani 2025 anaweza kutoboa?
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Taletale amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kukamilisha ujenzi wa barabara na ukarabati wa vituo vya afya vilivyopo kwenye jimbo lake kwa kuwa bado anatamani kuendelea kuwa mbunge.
"Rais kama utaondoka Morogoro haujaizungumza Ubena Zomozi - Ngerengere, hujaisema Bigwa Kisaki, mwanao tunaondoka wote, na mimi hii kazi naipenda mama na wewe unafahamu mimi ndio mziwanda wako mama,” amesema Taletale maarufu kwa jina la Babu Tale.
Amesema hayo Jumanne Agosti 6, 2024 wakati akitoa salamu kwenye mkutano wa hadhara unaofanyika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wakati Rais Samia akizindua miradi mbalimbali ndani ya mkoa huo.
Soma Pia: Kwa kuangalia historia na matendo ya Mbunge wako unadhani 2025 anaweza kutoboa?