Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wewe Mzee ni miongoni mwa Tunu ya Taifa , una maono makali sana , sisi wajukuu zako tunakutegemea utoe mwongozo wa Sintofahamu iliyopo .
Tunatanguliza Shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saa yako mbovu ,angalia tenaHivi sasa ni 01:37 usiku, nikajua Babu amesema Neno! Lazima CCM wangesema lko kwenye ilani ya chama, "wanatelekeza"
Wapambe wake wapoYupo humu?
Nitizamie huko, huku Mbeya inasoma hivyosaa yako mbovu ,angalia tena
Mshana JrWapambe wake wapo
nimelalaNitizamie huko, huku Mbeya inasoma hivyo
Ndio muda gani huu? Turudi kwenye madanimelala
babu yupo bize anaotesha miche mipyaNdio muda gani huu? Turudi kwenye mada
Sio Wapambe tuu,hata wale wafuasi wake waliokunywa kikombe wakati ule mmoja wapo yupo Chato kwasasa.Wapambe wake wapo
View attachment 1420356
Wewe Mzee ni miongoni mwa Tunu ya Taifa , una maono makali sana , sisi wajukuu zako tunakutegemea utoe mwongozo wa Sintofahamu iliyopo .
Tunatanguliza Shukrani