Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Kama kuna mwenye picha nzuri ya wateja wa babu aiwekehapa nione pls nimekumbuka sana huyubabu mwasapile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1420356
Wewe Mzee ni miongoni mwa Tunu ya Taifa , una maono makali sana , sisi wajukuu zako tunakutegemea utoe mwongozo wa Sintofahamu iliyopo .
Tunatanguliza Shukrani
Mwenezi wa chadema huyuWewe Mzee ni miongoni mwa Tunu ya Taifa , una maono makali sana , sisi wajukuu zako tunakutegemea utoe mwongozo wa Sintofahamu iliyopo .
Labda akutolee wewe maoni we ndo waweza liamini Hilo tapeli lililoandaliwa kudiverg ishu ya Richmond ili watu wasahau kuhusu Richmond.Huyo ni tapeli sawa na wale wa mafuta ya upako.Amesababisha wengi wamezikwa maporini wakifata kutapeliwa naeView attachment 1420356
Wewe Mzee ni miongoni mwa Tunu ya Taifa , una maono makali sana , sisi wajukuu zako tunakutegemea utoe mwongozo wa Sintofahamu iliyopo .
Tunatanguliza Shukrani
Alizembea angezipiga haswaa bahati aachi mara mbili
Nje ya madaMwenezi wa chadema huyu
Aiseeeee !!!Alizembea angezipiga haswaa bahati aachi mara mbili
Nadhani anajutia angepiga kikombe buku ten ten aoni malafyale wenzake wa upako wanavozimakeAiseeeee !!!