Babu wa Loliondo ananipoagawisha.

Babu wa Loliondo ananipoagawisha.

Umeona ehh huyu binti ni mwisho wa matatizo, naogopa asije akamfundisha Babu yale mambo ya Tanga ya kumgeuza samaki.
 
Nazjaz usha wahi kumchungulia baba yako?
Ambilikile Mwasapile ni babu yako usijaribu kuuona utupu wake hata kama akikuomba, maana kwa kufanya hivyo utakuwa unajitafutia laana.
 
jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.

lala sa moja usiku ;mwenzio nikifika hme naoga nalala mpaka kuminamoja kuna ndoto zinakuja lakini za mti bado seems ziko karibuni...usiache kulala mapema ok ndugu ila tahadhari usiwe karibu na buguruni tutakuwa wengi hata ukiwa kuoteshwa semea tameke kinondoni ...huku niachie fungu langu
 
Hahaha haha ah aha unaogopa ntaharibu biashara.
kweli wabongo hatushikiki.
 
Jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.

Nilikuwa nakupigia mahesabu muda mrefu, kama unamtaka babu mimi nanyanyua mikono.
 
Nilikuwa nakupigia mahesabu muda mrefu, kama unamtaka babu mimi nanyanyua mikono.

msuli utakudondoka bureee, bora uishushe hiyo mikono ili likianza kudondoka uliwahi.
 
Jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.

dah.. nilikuwa nakulia mingo nazjaz utangaze tu niwe wa kwanza kwenye PM .. KUMBE MOYO WAKO WOTE KWA BABU...

Sijui kama atakufaa maana babu anatumia Airtel....sasa wewe na mtandao wako wa tiGo hebu tuwasiliane...

HAHAHA REV. SI ATAHAMA KWENDA Airtel.. hehehe
 
dah.. nilikuwa nakulia mingo nazjaz utangaze tu niwe wa kwanza kwenye PM .. KUMBE MOYO WAKO WOTE KWA BABU...



HAHAHA REV. SI ATAHAMA KWENDA Airtel.. hehehe

kwa babu sisikii wala siambiwi, nimedata mazima.
 
Back
Top Bottom