Babu wa Loliondo anaswa Benki....

Babu wa Loliondo anaswa Benki....

mh! na huyo ni mhudumu wa bank au chef?? au sijaelewa........ au ni picha toka maktaba??
 
Babu anaendelea kutesa kwa mafao ambayo wagonjwa wengi walikufa.
 
Amenenepa!!

Now....


attachment.php


Before

babu.jpg
 
Boflo mambo vipi?
yaani hiyo avatar yako imenichekesha sana! huyo ndo bi harusi au matron?hahahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!! unatisha sana Boflo!
View attachment 92496





Stori:Mwandishi Wetu
Katika kuonesha kuwa Mchungaji Mstaafu, Ambilikile Mwasapile ‘Babu wa Loliondo’ bado ana fedha baada ya kuzikusanya kutoka kwa wateja wake wa huduma ya kikombe, hivi karibuni alinaswa ndani ya Benki ya NMB akipata huduma.


Babu alibambwa ndani ya benki hiyo Tawi la Loliondo mkoani Manyara akihudumiwa na mmoja wa wafanyakazi aliyefahamika kwa jina la Lembris Lesion ambapo inaelezwa alikuwa akielekezwa jinsi ya kujiunga na huduma mpya ya Jisevie.
Akiwa benki hapo, Babu alionekana akijaza fomu huku akiwa na begi ambalo linashukiwa kuwa na fedha ndani yake ambapo baadhi ya watu waliokuwa wakimpiga chabo hawakuonesha kumshangaa wakiamini bado ana mkwanja wa kutosha kutokana na ile tiba ailiyokuwa akiitoa kwa watu wengi hivi karibuni.
“Unajua Babu alipata pesa nyingi sana na bado anaendelea kuzikusanya, kimsingi ana pesa ndefu benki,” alisema mmoja wa wateja aliyekuwa eneo hilo. GPL
 
Boflo mambo vipi? yaani hiyo avatar yako imenichekesha sana! huyo ndo bi harusi au matron?hahahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!! unatisha sana Boflo!

Mkuu hata hii yako inachekesha pia.........sijui hizo rangi ni SIMBA vs YANGA
 
Boflooooooooooooooooooo wewe kibiko!nacheka sina mbavu!eti tunamlipa mafao ya uzeeni duu
 
...anafaidi mafao, wajinga ndio waliwao...
 
Kulitokea vikombe vingi, mbona umetuletea babu peke yake? Yule dada, na yule kaka waliokuwa wanatoa vikombe wako wapi mbona umewasahau?
 
hahahahah, kweli kanenepa, pesa si mchezo bana,,. lakini mtu akiwa maarufu kazi kwelikweli,. lakini sijaona ajabu babu kwenda bank,...
 
tatizo Tz maisha magumu akaamua kutoka kivyake kw śtail ya kikombe mnamkamata saiz mziki ushaisha,
 
Huyu babu bado kujiunga jf tu
halafu utashangaa watakaom pm lol
 
Back
Top Bottom