Babu wa miaka 70 afumwa akilawiti mtoto wa miaka 14

Babu wa miaka 70 afumwa akilawiti mtoto wa miaka 14

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
#HABARI Jackson Lukondo mwenye zaidi ya mika (70) anashikiliwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa shule ya msingi Masawe (14) ambaye amekuwa akimdanganya anamfundisha tohara inavyofanywa na kumtishia kumuua akisema anachomfanyia.

#EastAfricaTV https:/
20220922_171248.jpg
/t.co/eRa4xKlQlJ
 
Yale majizi yanakaa yanawaza tozo naongea kwa uchungu baada ya mauaji sasa hii ya ulawiti kwa watoto inashika hatmu kwa kasi ya ajabu sana kila siku watoto wanalatiwa na wanyongwe kabisa mbwa hawa
 
Vizee vya hivi sio hata vyakufunguliwa kesi,ni kukitia shoka au nyundo ya utosi kiende kwa malkia elizabeth kikatulie.
Kukitia shoka au nyundo ni kupoteza muda. Cha kufanya ni kuchimba shimo refu afu kukifukia kizima kizima kikafie mbele ya safari huko.
 
Yale majizi yanakaa yanawaza tozo naongea kwa uchungu baada ya mauaji sasa hii ya ulawiti kwa watoto inashika hatmu kwa kasi ya ajabu sana kila siku watoto wanalatiwa na wanyongwe kabisa mbwa hawa
Kwahiyo kabla ya tozo watu walikuwa hawalawitiwi?
 
Vizee vya hivi sio hata vyakufunguliwa kesi,ni kukitia shoka au nyundo ya utosi kiende kwa malkia elizabeth kikatulie.
Alafu unakuwa kutwa vinakunywa dawa za nguvu za kiume Ili vipate mzuka wa nguvu za kiume hao ni shoka tu kwakweli.
 
Hivyo mbunye zilivyotamu Hadi watu wanazilamba na ulimi, MTU unatamanije 0713?
Nauliza
 
Ingekuwa ana jina la kiislamu ingenasibishwa na dini lakini kwa kuwa sio hivyo wajinga wengi wanapita tu.Ukatili na ubaradhuli hauna dini.Walio na ujinga wa kukashifu dini za wenzenu hii ndio nafasi ya kujifunza.
 
Huyo dogo ni anti aliechangamka...haiwezekani dyudyu iko dede inakupenya af bdo unaimajin mambo ya tohara
 
Back
Top Bottom