Manina dah#HABARI Jackson Lukondo mwenye zaidi ya mika (70) anashikiliwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa shule ya msingi Masawe (14) ambaye amekuwa akimdanganya anamfundisha tohara inavyofanywa na kumtishia kumuua akisema anachomfanyia.
#EastAfricaTV https:/View attachment 2364893/t.co/eRa4xKlQlJ
Ingekuwa ni majina hayo isingekuwa ni habariHilo jina la mtuhumiwa limesababisha hii thread ikose wachangiaji. Laiti kama mlawiti angeitwa Hassani, Hamisi, Abdallah au Saidi basi mpaka sasa uzi huu ungekuwa umeshajaa comments dhihaka.
Balaaa....itabidi tufanye uchunguzi kuna nini wanapata hukoNaona sahv wazee wanawazibua tu mitaro watoto wadogo duh
Ova
hahahaHilo jina la mtuhumiwa limesababisha hii thread ikose wachangiaji. Laiti kama mlawiti angeitwa Hassani, Hamisi, Abdallah au Saidi basi mpaka sasa uzi huu ungekuwa umeshajaa comments dhihaka.
sijui kama jamii tufanyeje hili suala liishe!maana kila siku ni vioja vipyaa!pamoja na sheria kali ya kifungo cha maisha bado hali ni mbaya!kila siku kuna tukio!ingekua amri yangu au ningekua Rais ningetangaza kuua waganga wote wa kienyeji maana ndo wanaopelekea huu ufirauni kwa watoto wetu kufanyiwa mambo ya ajabu!#HABARI Jackson Lukondo mwenye zaidi ya mika (70) anashikiliwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa shule ya msingi Masawe (14) ambaye amekuwa akimdanganya anamfundisha tohara inavyofanywa na kumtishia kumuua akisema anachomfanyia.
#EastAfricaTV https:/View attachment 2364893/t.co/eRa4xKlQlJ
Mkoa gani?#HABARI Jackson Lukondo mwenye zaidi ya mika (70) anashikiliwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa shule ya msingi Masawe (14) ambaye amekuwa akimdanganya anamfundisha tohara inavyofanywa na kumtishia kumuua akisema anachomfanyia.
chuma bado kinasimama dede babu hana hela ya kutafuta malaya..... matokeo yake ndiyo haya !!Miaka 70 anataka kula mzigo ili iwaje?!
Muoshwa huoshwaAnaenda kua mwali wa mtu huko jela...
Labda Masharti ya WagangaBalaaa....itabidi tufanye uchunguzi kuna nini wanapata huko
Itakuwa maana hizi tamaa za mali watu wanafanya mambo ya ajabu kwa kweliLabda Masharti ya Waganga