Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Water follows the stream... Dully nae yuko humo humoDaah walikua handsome
Kumbe haya macho dully kayatoa kwenye ukoo wao, daahPicha hapo chini:
kutoka kulia ni abdhullwahid Sykes...
hapo hawaja edit wala beautfy images.Daah walikua handsome
Mkuu umemaind nini sasa?Kwa hiyo cha maana ulichokiona ni uhandsome .we ni me au ke?
Kama walikuwa wanajeshi kwanini wapumzike kwa amani...waendelee kupambana kwa nguvu zote huko..maana mr shetani anatuzingua sana yaniSio tu walikua wanajeshi lakini pia walikua ni matajiri na Familia kubwa katika Jiji la mzizima.Mmojawapo kati yao ndiye alikua meneja wa soko la kariakoo hicho ni kipindi ukoloni wa Waingereza,Kumbukeni pia kwa miaka hiyo hao jamaa walikua wanamiliki magari aina ya Benzi,Wana mchango mkubwa Sana kwenye harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika ,Waendelee kupumuzika kwa Amani.
History mbona imewapotezea inamzungumzia Nyerere peke yake?Sio tu walikua wanajeshi lakini pia walikua ni matajiri na Familia kubwa katika Jiji la mzizima.Mmojawapo kati yao ndiye alikua meneja wa soko la kariakoo hicho ni kipindi ukoloni wa Waingereza,Kumbukeni pia kwa miaka hiyo hao jamaa walikua wanamiliki magari aina ya Benzi,Wana mchango mkubwa Sana kwenye harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika ,Waendelee kupumuzika kwa Amani.
History mbona imewapotezea inamzungumzia Nyerere peke yake?Sio tu walikua wanajeshi lakini pia walikua ni matajiri na Familia kubwa katika Jiji la mzizima.Mmojawapo kati yao ndiye alikua meneja wa soko la kariakoo hicho ni kipindi ukoloni wa Waingereza,Kumbukeni pia kwa miaka hiyo hao jamaa walikua wanamiliki magari aina ya Benzi,Wana mchango mkubwa Sana kwenye harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika ,Waendelee kupumuzika kwa Amani.