fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
History mbona imewapotezea inamzungumzia Nyerere peke yake?Sio tu walikua wanajeshi lakini pia walikua ni matajiri na Familia kubwa katika Jiji la mzizima.Mmojawapo kati yao ndiye alikua meneja wa soko la kariakoo hicho ni kipindi ukoloni wa Waingereza,Kumbukeni pia kwa miaka hiyo hao jamaa walikua wanamiliki magari aina ya Benzi,Wana mchango mkubwa Sana kwenye harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika ,Waendelee kupumuzika kwa Amani.