hahaaaDuh Babu Tale nae ni meneja alafu hata ABC's za kampuni hana kwa kifupi kwenye hii ishu Tale kanasa kwenye nyavu ni bora akubali wayamalize nje ya mahakama kama vipi amnunulie ustaadh kanzu mpya,msuli,makubasi na kofia pamoja na plate za biriani ili amtulize ndio ugonjwa wao huo.
Itakula kwake if it was a partnership. But again partnership hufa when one member dies. Sasa kama alisaini biashara na kampuni, then huyo Babu Tale hana kesi. Itakayoshtakiwa ni kampuni na sio shareholderKampuni inadaiwa...kampuni ina wakurugenzi...babu Tale ni mkurugenzi...hili deni linamhusu aisee...
Alitakiwa aseme I don't know anythingKwa faida yangu na wenzangu wasioijua lugha hii tusaidianeni wakuu, ukisema ''I know nothing'' kosa lake ni nini? na badala yake ilitakiwa asemaje? longi mapexa sanif Azulene
nimeuliza kwania njema wakuu, asanteni.
ulitaka asemaje i don't know au i don't know anything mbona senstensi haina tatizo iyoi know nothing!
Inadaiwa kampuni sio Babu Tale. Aki declare bankruptcy hamna kesi maana mali ni za Babu Tale sio Tip TopKampuni inadaiwa...kampuni ina wakurugenzi...babu Tale ni mkurugenzi...hili deni linamhusu aisee...
Hiyo kampuni kama ni Limited by Share means Ustaadh anapaswa kulipwa kile tu kinachomilikiwa na Kampuni, na sio mali binafsi za wamiliki wa kampuni,huu ni mlango wa pili wa kutokea. Sasa sina uhakika kampuni kama kampuni inamiliki assets gani maana kibongo bongo siku hizi kampuni sio ofisi kubwakubwa,hata laptop moja tu yenye modem na printer yake ni asset tosha kabisa.1. Kwenye kampuni wanaoingia mikataba ni WAKUREGENZI (ma DIRECTOR) wa kampuni tu...hata share holders hawana hayo mamlaka labda kama ni director wa kampuni pia..hata hivyo mtu ambaye sio director anaweza kuingia katika mkataba kwa niaba ya kampuni kama kampuni itakuwa imempa mamlaka hayo kisheria. Vilevile mkataba halali wa kampuni lazima ushuhudiwe na DIRECTOR WAWILI AU director mmoja na company secretary na muhuri wa kampuni uwepo
2.Hata mtu binafsi anao uwezo wa kuingia mkataba na kampuni.
3.mwanahisa mambo yake binafsi kwa namna yoyote vile hayawezi kuingia kwa kampuni hiyo ni juu yake.
4. Inavyoonekana tip top ni kampuni na mzee alikuwa kaingia mkataba na kampuni ya tip top (naamini hivyo) na Tale ni mmoja Ma-director wa hiyo kampuni ...katika hali ya kawaida kampuni ndo ilipaswa kudaiwa na wala sio wanahisa au Directors moja kwa moja ambao wana kinga kisheria 'COOPERATE VEIL" ....lakin unaweza OMBA mahakama iwaondelee kinga (kwa sababu maalumu kama wamefanya udanganyifu kwa makusudi kabisa ili kujinufaisha kupitia mgongo wa kampuni) ma director na ma shareholders ya kutoshtakiwa......"LIFTING COOPERATE VEIL'' na hii naamini ndiyo walichofanya upande wa pili..........
5. Mlango wa kwanza wa kutokea ni kuangalia ''UHALALI WA HUO MKATABA'' hata hivi kwa sasa yaweza isiwe msaada sana kwa hatua kesi ilipofikia
6. Aangalie jinsi ya "kumpooza kiaina'' ustaadhi
Hapa kwenye bold sijakuelewa!!Mali za kampuni na wamiliki kwio
hapana hukunielewa mkuu nilimaanisha na mimi sijui chochote kuhusu mkasa huo na si kumkosoa!ulitaka asemaje i don't know au i don't know anything mbona senstensi haina tatizo iyo
Kutokujua lugha si tatizo,ila tatizo kujifanya unajua wakati hujui. Hapo hakukosea yupo sahihi na ndio maana sisi waelewa wa hiyo lugha tujadili mada sio lugha.Alitakiwa aseme I don't know anything
Sound ya kuku anapokamatwaHapa kwenye bold sijakuelewa!!
Mkuu huku kitaa watu wana lugha ya ajabu, hiyo lugha mmatumbi haijui wala mwingereza haielewi.Hiki nacho ni kizungu? Yai ni shida sana aisee
Kadai waligawana fito za kampuni, wakati huo huo hawajawahi toa tangazo lolote juu ya ku_dissolve companyElimu tatizo kwa bwana Babu tale....[emoji23][emoji23][emoji23],anakubali yeye ni miongoni mwa wamiliki wa kampuni lakini anagoma kulipa ,amekufa kaka lakini kampuni iliyoshtakiwa IPO...hapo alipe tu,au akate rufaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] same WHAT ?Same appy to me