sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Jf bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]habar yako haina kichwa wala miguu.
Swali zuri kabisa[emoji4][emoji106]Na akibaki anapata shingapi?
Ukitumia Musiba style bado mkataba utafanya kazi?Wabongo tujifunze kuheshimu mikataba,
Kama aliridhia kipindi anasaini, asije kutia huruma baadae.
Akibaki akazane apate showsNa akibaki anapata shingapi?
Sidhani Kama mondi ana fikiria kutoka, Utakuwa mwisho wake wa aibu.Sound tu.
Lavalava bei gani?
Diamond akitaka kutoka?
Sidhani Kama mondi ana fikiria kutoka, Utakuwa mwisho wake wa aibu.
Na kwa wasanii wanasaini mkataba ilimladi ili kutoka kwenye uanderground na kuwa brand, baadaye kutaka kutoka ndo ngoma.Wabongo tujifunze kuheshimu mikataba,
Kama aliridhia kipindi anasaini, asije kutia huruma baadae.