Babuu wa kitaa na media (Tv)

Babuu wa kitaa na media (Tv)

understanding

Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
75
Reaction score
34
jamani naombeni kufahamu taaluma ya Babuu wa Kitaa, Nimeshituka sana kuambiwa kuwa naye ni miongoni mwa TV presenters ya TV station fulani hivi hapa mjini na tena analipwa pesa ndefu sana kuliko presenters wote wa kituo hicho...

ninamfahamu huyu jamaa kama muhuni tu, mlevi, mvutaji, na mgomvi akilewa, sifahamu wala sina kumbukumbu ya chuo cha habari alichopitia hadi akawa kwenye media leo...

swali ni je kweli huyu jamaa yuko kwenye media siku hizi? mwenye kumfahamu zaidi naomba atujuze...
 
jamani naombeni kufahamu taaluma ya Babuu wa Kitaa, Nimeshituka sana kuambiwa kuwa naye ni miongoni mwa TV presenters ya TV station fulani hivi hapa mjini na tena analipwa pesa ndefu sana kuliko presenters wote wa kituo hicho...

ninamfahamu huyu jamaa kama muhuni tu, mlevi, mvutaji, na mgomvi akilewa, sifahamu wala sina kumbukumbu ya chuo cha habari alichopitia hadi akawa kwenye media leo...

swali ni je kweli huyu jamaa yuko kwenye media siku hizi? mwenye kumfahamu zaidi naomba atujuze...

Una CV za kila mtu mkuu? Kukusaidia ni kwamba kuwa TV presenter haihitaji elimu ya kuprofessionalize bali kipaji zaidi ila kwa wale wanaotaka kubobea ndo wanaweza kwenda chuo, na kozi zao sio ndefu tena sanasana ni training na seminars ndo zina waboost.

Turudi kwa Babuu, hana ukali wa kuajiliwa na media zinazohitaji usiriaz wa kazi yeye ataajiriwa na media zinazosikkilizwa na wasiojali ubora bali wapate wanachokihisi. Naona hiyo itakuwa ni bahati na wala sio elimu tena. Aliajiriwa Kipanya mchora katuni
 
huyo mwanaume ndio babuu wa kitaa... tafadhali mwenye profile yake tunaomba amwwagike hapa.... nasikia jamaa analamba mshiko mkubwa sana hapo TV station ya watu na ndio inayompa kiburi... kuna mtu ana data atupe?

4.jpg
 
Babuu friend of mine... Ha ha ha! Jamaa ana shule nzuri tu tena kutoka SA tena kuhusiana na masuala ya media. Mbali na hapo, ni wakishua si cha mtoto.

unajifagilia ni wewe au??
toto la kiswazi hilo mikocheni chumba kimoja wamejazana mtoto wa mama wakitoka huwezi amini kama wanatosha!!!
amshukuru kajala kumhonga gari kabla hajaenda jela baada ya kuuza nyumba ya mumewe iliyokuwa chini ya PCCB
toto la uswazi nyuma ya shule
 
Raiza
funguka kaka, funguka.... kajala alikuwa demu wake? kamuachia gari aina gani ??? huyu kumbe kichekesho... tunavyojua sisi ni mtoto wa mama sana, mboga saba...
 
Last edited by a moderator:
Raiza
funguka kaka, funguka.... kajala alikuwa demu wake? kamuachia gari aina gani ??? huyu kumbe kichekesho... tunavyojua sisi ni mtoto wa mama sana, mboga saba...
mi kigoli wewe ujue nasi kaka
nyooo mboga saba wapi chips vumbi ndo hadhi yake na kile kidogo chake sijui country boy chumba kimoja watu 11
alipewa cresta white unahitaji plate no?
 
Last edited by a moderator:
@ Raiza

tafadhali naomba utoe plate number...... ana hiyo gari hadi leo?? da! jamaa anajifanyaga brother man sana, full kujishaua na kujiona ona.... halafu Raiza, vipi kipato, ni kweli jamaa anakula pesa ndefu hapo mjengoni au ndio kujisifia
 
Back
Top Bottom