understanding
Member
- Feb 17, 2013
- 75
- 34
Una photo yake........?
jamani naombeni kufahamu taaluma ya Babuu wa Kitaa, Nimeshituka sana kuambiwa kuwa naye ni miongoni mwa TV presenters ya TV station fulani hivi hapa mjini na tena analipwa pesa ndefu sana kuliko presenters wote wa kituo hicho...
ninamfahamu huyu jamaa kama muhuni tu, mlevi, mvutaji, na mgomvi akilewa, sifahamu wala sina kumbukumbu ya chuo cha habari alichopitia hadi akawa kwenye media leo...
swali ni je kweli huyu jamaa yuko kwenye media siku hizi? mwenye kumfahamu zaidi naomba atujuze...
Dah, huyu ni preta yuleyule ama macho yangu.? Kuna kitu kimemiss hapa. Nacho si kingine ila ni rangi ya purple unayoitumiaga. Sio siri huwa inapendezaga sana.
Neva du zis mistek ageni, advais..!
Babuu friend of mine... Ha ha ha! Jamaa ana shule nzuri tu tena kutoka SA tena kuhusiana na masuala ya media. Mbali na hapo, ni wakishua si cha mtoto.
mi kigoli wewe ujue nasi kakaRaiza
funguka kaka, funguka.... kajala alikuwa demu wake? kamuachia gari aina gani ??? huyu kumbe kichekesho... tunavyojua sisi ni mtoto wa mama sana, mboga saba...
mbona wote ni Wanawake?