@ Raiza
tafadhali naomba utoe plate number...... ana hiyo gari hadi leo?? da! jamaa anajifanyaga brother man sana, full kujishaua na kujiona ona.... halafu Raiza, vipi kipato, ni kweli jamaa anakula pesa ndefu hapo mjengoni au ndio kujisifia
hahahaha........endelea tu.......Nimekushtukia!!!
well noted.......
Ndio maana jf huitwa darasa huruAisee jamii forum ni kiboko!
Uzi wa 2013 leo yametimia
Kahojiwe na kipanya ndo utajua ni mchoraji katuni tuUna CV za kila mtu mkuu? Kukusaidia ni kwamba kuwa TV presenter haihitaji elimu ya kuprofessionalize bali kipaji zaidi ila kwa wale wanaotaka kubobea ndo wanaweza kwenda chuo, na kozi zao sio ndefu tena sanasana ni training na seminars ndo zina waboost.
Turudi kwa Babuu, hana ukali wa kuajiliwa na media zinazohitaji usiriaz wa kazi yeye ataajiriwa na media zinazosikkilizwa na wasiojali ubora bali wapate wanachokihisi. Naona hiyo itakuwa ni bahati na wala sio elimu tena. Aliajiriwa Kipanya mchora katuni
Hivi ni cancer ya nini?Tatizo watu wanaropoka wasivyovijua...huyu hata asipofanya kazi ni mtt wa kigogo kiufupi huyu na kina ridhiwani ni baba mmoja mama tofauti hivyo pesa mingi..kuwa clouds ni bosheni tu by the way mwenyezi mungu amponye cancer mwanetu.
Sina uhakika lakini kama sio mapafu ni iniHivi ni cancer ya nini?
Wewe ndo unae mfahamu kiundani harafu unatuuliza sisi?jamani naombeni kufahamu taaluma ya Babuu wa Kitaa, Nimeshituka sana kuambiwa kuwa naye ni miongoni mwa TV presenters ya TV station fulani hivi hapa mjini na tena analipwa pesa ndefu sana kuliko presenters wote wa kituo hicho...
ninamfahamu huyu jamaa kama muhuni tu, mlevi, mvutaji, na mgomvi akilewa, sifahamu wala sina kumbukumbu ya chuo cha habari alichopitia hadi akawa kwenye media leo...
swali ni je kweli huyu jamaa yuko kwenye media siku hizi? mwenye kumfahamu zaidi naomba atujuze...