Sis Maria Roza, Mponyaji ni Yesu Kristo tu! Spread the word!!!!!Babu kweli ni mponyaji, angelikuwa tapeli watu wasingejazana hivi!
Sis Maria Roza, Mponyaji ni Yesu Kristo tu! Spread the word!!!!!
I know but Yesu anaweza kuja kwa njia nyingi
amen roza akumbuke mfalme naamani aliponywa kwa matope..kulikuwa na maji angenawa akaponywa kwa nini alifwata matope..omba jicho lo rohoni usione mwilini tu
I know but Yesu anaweza kuja kwa njia nyingi
Umechemka! Hakuna kisa cha 'mfalme' Naaman aliyeponywa kwa tope. au hiyo iko kwenye hekaya za abunuwas??? Pia aliyeponywa hakuwa mfalme...amen roza akumbuke mfalme naamani aliponywa kwa matope..kulikuwa na maji angenawa akaponywa kwa nini alifwata matope..omba jicho lo rohoni usione mwilini tu
Hata DECI walijazana hivyo hivyo. No wonder. Anyway!Babu kweli ni mponyaji, angelikuwa tapeli watu wasingejazana hivi!
Dr babu hawezi tangaza nia kwa yeye hatafuti umaarufu wa duniani yeye anatekeleza yaliyo mema big up babubabu kama ukiwa hai 2015 tangaza nia
Hapana: Inabidi serikali ifanye kauchunguzi kadogo.
Ichukue wagonjwa wa ukimwi hivi kutoka ma-hospitalini , wawapeleke kinyemela kwa babu wanywe hiyo dawa, na baada ya mda tena wawapime kuona matibabu ya babu kama ni ya kweli ama longolongo.