Don worry AD...nishawagawia ban zao!
Dena ametuchonganisha halafu kakimbia Mama watoto usiwasikilize majirani wanataka kuharibu ndoa yetummmmhhh jamani
asante sana yaani..
mmhh hembu tuacheni..
kila thread nikiingia lazima nikutane na haya...
mmmhhhh tupeni nafaasi ya kupumua kidogo jamani...
Ati nini? Uporoto unataka kuniua kabla sijafa ili umrithi mama watoto wangu nione mtu anasogeza mguu wakePsss! mwindaji mwenzangu AD na TF hawaongei hii chance yetu kule usisema sijakustua.
Dena ametuchonganisha halafu kakimbia Mama watoto usiwasikilize majirani wanataka kuharibu ndoa yetu
Ati nini? Uporoto unataka kuniua kabla sijafa ili umrithi mama watoto wangu nione mtu anasogeza mguu wake
Hii inaapply hata mkiambiana kwa hasira?.hamna 2nd chances?
Mi wala siongei msome mwenyewe hapa chini.Ati nini? Uporoto unataka kuniua kabla sijafa ili umrithi mama watoto wangu nione mtu anasogeza mguu wake
Ya nini malumbano.... 20%we coma..
mie nimekuja huku
nikadhani nita kuta maneno kama haya
"Babe come back to me"
"i dont wana be free"
insted nakutana na we na nyumba ndogo nado mnatesa..
mie niache niende wapo wengi watakao furahi..
mmhhhh cha ajabu kila mtu anajua tumegombana...
Dah! Mbona unakuwa mkali hivyo dnt u remember what we have gone thru me and you
mmmhh Uporoto na we kaa pembeniMi wala siongei msome mwenyewe hapa chini.
Ya nini malumbano.... 20%
Uporoto 01 nakuandalia ban yako we subiriMi wala siongei msome mwenyewe hapa chini.
Ya nini malumbano.... 20%
Dah! Mbona unakuwa mkali hivyo dnt u remember what we have gone thru me and you
Mama watoto i have arranged dinner for two leo kwahiyo nakusubiria utoke ofisini i'll be waitingmmmhh Uporoto na we kaa pembeni
matata ya muke na mume usiingilie
piripiri usiokula inakuwashia nini
lol"SIMBA MAPANGALA"
hahahah lol
Mama watoto i have arranged dinner for two leo kwahiyo nakusubiria utoke ofisini i'll be waiting
Sijakutelekeza mama watoto ila ni watu wanataka waone mimi na wewe tunafarakana ili wao mwisho wa siku wafurahie you know how much i care about yousweet heart nakumbuka kila kitu
ndoo maana roho yaniuma sana
kuona unanitekeleza mbele ya macho yangu..
naona penzi letu la dhati limefika mwisho..
leo ndo naamini what goes up must come down..
mmmhhh mie inaniuma sana lakini itabidi
nikuage...
bado ntazidi kukumbuka muda wote mzuri tuliopitia
espacialy mara ya kwanza tulipokutana..
mie nalia kwa uchungu sana..
na hakuna wakunifuta machozi...
mie bado nakupenda lakini umenitekeleza baada ya kuizalisha,,
sina la kusema ila safari njema..
usiwasahau watoto wako tu naomba....
sina hamu ya maisha dunia imenilemea...
Hivi unaamini watu wanayosema juu yangu mimi?haka
hata usihangaike..
we wa weza kula pande mbili...
borea nikuachie uhuru wako...
sasa huna maana yeyote ya kudanganya
au kujificha .. dunia yote yako na Pearl..
wish u happy ending...
Sijakutelekeza mama watoto ila ni watu wanataka waone mimi na wewe tunafarakana ili wao mwisho wa siku wafurahie you know how much i care about you
Ukiona inakua ngumu niite nikusaidie..Mama watoto i have arranged dinner for two leo kwahiyo nakusubiria utoke ofisini i'll be waiting
Mama watoto mimi na wewe hatujagombana ila watu ndio wanatugombanishahaka
hata usihangaike..
we wa weza kula pande mbili...
borea nikuachie uhuru wako...
sasa huna maana yeyote ya kudanganya
au kujificha .. dunia yote yako na Pearl..
wish u happy ending...
Hivi unaamini watu wanayosema juu yangu mimi?
Habari yakee banaa!if u real care about me just answer this one question please..
nataka tu kujua unampenda nani kimapenzi kati yangu Afrodenzi na Pearl..????
naomba usikatishe kona...