Hivi hapa mnaongelea nini?Ukiona inakua ngumu niite nikusaidie..
Unataka nikujibu hapa now now public bila kificho?if u real care about me just answer this one question please..
nataka tu kujua unampenda nani kimapenzi kati yangu Afrodenzi na Pearl..????
naomba usikatishe kona...
Mama watoto mimi na wewe hatujagombana ila watu ndio wanatugombanisha
Habari yakee banaa!
yani mmeshafunga ndoa humu humu, sasa hivi mnagombana........ninahakika mtaachana humuhumu.........na mm nipo nangoja kum-console Afrodenzi.hata siku moja ndo maana ndoa yetu imedumu miaka 15....
lakini haya mambo wewe uliyasema mwenyewe kwa mwanamke wako wa nje
halafu unasingizia kuna mtua aliiba password ...
naona unataka kunifanya mtoto...
Babe come back...Hivi hapa mnaongelea nini?
on the second Thought!!.........
Uporoto 01 nakuandalia ban yako we subiri
Unataka nikujibu hapa now now public bila kificho?
niambie mm nitampelekea ujumbe Via face to faceUnataka nikujibu hapa now now public bila kificho?
yani mmeshafunga ndoa humu humu, sasa hivi mnagombana........ninahakika mtaachana humuhumu.........na mm nipo nangoja kum-console Afrodenzi.
Kimpango mkakati zaidi..........a sholder to cry on.
Hii ndo tunaita kuokota embe dodo chini ya mbuyu!!yani mmeshafunga ndoa humu humu, sasa hivi mnagombana........ninahakika mtaachana humuhumu.........na mm nipo nangoja kum-console Afrodenzi.
Kimpango mkakati zaidi..........a sholder to cry on.
I love with you all my heart,mind and soulpingu za maisha tulifunga kanisani mbele ya watu wote..
kama unaniacha niache mbele ya kila mtu..
na kama unanipenda onesha kwa kila mtu..
sasa go ahead na sema jibu lako...
Just to let ya know I am around.mmmhhhh jamani tuachni kwa muda kidogo ..
haya mambo mazito sana..
Hommie u are vere vere u are gud at catching fishes in the oceanniambie mm nitampelekea ujumbe Via face to face
Ngoja tuifadhi hii kama future reference..!I love with you all my heart,mind and soul
Nyani kalileta.Hii ndo tunaita kuokota embe dodo chini ya mbuyu!!
I love with you all my heart,mind and soul
Sijakusikia...............I catch them fishes in the running water......Hommie u are vere vere u are gud at catching fishes in the ocean
Hivi hii ndio ile YOU THINK U ARE THE ONLY FISH IN THE SEA?Just to let ya know I am around.
Just in case ........si unajua. You come this way babe. No going back.
Hivi nyani analeta embe au kokwa?Nyani kalileta.