Baby Come Back.........


Huyo dada inaonekana ni mjasiriamali sana. Hana fremu Kariakoo kweli?

i love you to huny buny
im so happy u come back to me
....

Naona wewe na TF mmeamua kufanya prakitiko ya hii issue. Nimefarijika kwamba mumeyamaliza bila ngeu. Endeleeni hivyo hivyo 7x70!
 
Pamoja ya wewe AD kukubali yaishe jina la mbaya wako halijatajwa kuwa unapendwa zaidi yake kama ulivyoomba awali,nawasilisha hoja.

Kumbe wewe ni mchokozi kiasi hicho? Au unataka kuona baby come back ya pili na ya tatu kwa siku moja!!
 
Pamoja ya wewe AD kukubali yaishe jina la mbaya wako halijatajwa kuwa unapendwa zaidi yake kama ulivyoomba awali,nawasilisha hoja.
Mbona umeanza kusoma kati ya mistari? Unajua c mawakili tunaishi kwa ajili ya Kesi..
 
Listen to your heart. Forget sentiments. Which one of these guys brings out the best in you? When it comes to relationships my dear there ain't rules. Listen to your heart!

Do what your heart tells you.There has to be one you love more,one you wanna be with more,that you care about more,and that loves you more.Past or present go with the one that's dearest to your heart

Na Mostly,huwa wanaume tunapenda sana kuumiza na hasa pale tunapojua kwamba tunapendwa.We take love for granted,tunakuwa kama washamba wa Mapenzi.Hata wasichana sometimes but si kama wanaume.Naruhusu kupingwa,au Maandamano!

I rest my case!!!
 
Naona wewe na TF mmeamua kufanya prakitiko ya hii issue. Nimefarijika kwamba mumeyamaliza bila ngeu. Endeleeni hivyo hivyo 7x70![/QUOTE]

mmmhh babu DC hawa watoto wana mwitaji baba yao
na mie namuhitaji mume wangu...
na hivi vyote ilikuwa juu yangu..
nimechoka kila siku watoto wanuliza
"mama baba yuko wapi" nami nawadanganya
"amesafiri Ulaya "
mmmmhhhh mie maisha haya siyataki
kakiri makosa yake mmmhhh
mwache arudi nyumbani..
na dhani sasa anaona nini umuhimu wa penzi letu...

AD
 
Pamoja ya wewe AD kukubali yaishe jina la mbaya wako halijatajwa kuwa unapendwa zaidi yake kama ulivyoomba awali,nawasilisha hoja.

saa nyingine ukizungusha sana shingo itavunjika..
mmmhhh yaache tu hayo ya zamani sasa..
 

Mimi nitaandamana kesho...ni vitegemezi vyangu vyote...Kukuunga mkono na kukupogeneza kwa this useful post!


The Following User Says Thank You to Ben For This Useful Post:
Dark City (Today)
 
Mimi nitaandamana kesho...ni vitegemezi vyangu vyote...Kukuunga mkono na kukupogeneza kwa this useful post!


The Following User Says Thank You to Ben For This Useful Post:
Dark City (Today)
Mkuu tunakupenda una kibali cha polisi ?maana siku hizi watadai kuna habari za kiintelijensia kuwa wewe ni gaidi lililokubuhu na una mafunzo ya FARC wa Colombia.
 
Intelijensia yangu inasema kuwa polisi hawatavaa sare zao watavaa kiraia tu
 
Psss! mwindaji mwenzangu AD na TF hawaongei hii chance yetu kule usisema sijakustua.
hehehehe dah hii ndio kwanza naona, niliishiwa na hela cafe bana. dah naona wameelewana tayari, acha tuanze juhudi za kugombanisha tena.

bek to ze topik: baby come back haikubaliki kabisa.
 
hehehehe dah hii ndio kwanza naona, niliishiwa na hela cafe bana. dah naona wameelewana tayari, acha tuanze juhudi za kugombanisha tena.

bek to ze topik: baby come back haikubaliki kabisa.

Ha ha ha ha Klorokwini haikubaliki kabisa
 
Kwa maoni yangu;
1. inategemea meachana katika mazingira gani, kwangu mimi nimesha jaribu hiyo kwa watu nilio achana nao kwa kugombana, na kwa kweli nikajaribu na kugundua kua vitu vile vile vilivyo kua vinani boa ni the same, na baada ya hiyo nika geuka bila kuanngalia nyuma.

2. kwa mazingira mengine kama mliachana kwa amani na kukawa kuna feelings zime hang, labda hapo ndiyo kuna chance ya kurudiana.. Pia inategemea ni muda gani tangu meachana...

I do hope this makes sense kwa sababu kuelezea kwa kiswahili ni project kubwa...
 

Sijaelewa hapo....Ni rahisi kwa Kinyakyusa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…