Sijui ni mimi tu au, huwa sirudi nyuma aiseee
Mkuu mwenyekiti wetu Kaizer, vijana wameharibika sana siku izi...wanajadili mambo kisiasa bila kuangalia intelijensia
Haya, assume 'BABY' ni ndovu ya kopo, then rudi kwenye hoja ya MJ1
thread closed!
mmmhh jamani nilitegemea useme nakuja kukufuta machozi....
mmhh kumbe we mchoyo ae...lol
Babu kipenzi ukiondoa kusononeka kwa kukumisi, hajambo sana.
Nasubiria ile ahadi ya mkongojo ulioniahidi.
Tuseme balantines kamfumania valuu nani utamwambia bebi kamu baki
Babu kipenzi ukiondoa kusononeka kwa kukumisi, hajambo sana.
Nasubiria ile ahadi ya mkongojo ulioniahidi.
Hao hawafumaniani hata siku moja
mmmhh babu
hata usijalibabu mi nikiwa siko hapa
nimeenda kutafuta mahindi,maharage,mihogo na kunde za kumlisha babu yangu...
umeni tunza vizuri na sasa zamu yangu kukutunza wewe..
Vipi wajuu wapya,
je wanakubali kukaguliwa??
Hivi sasa ni saa 3:15 PM, bado 1:15 niende counter ya juu.....
Sijui jua limesimama mbona time haziendi?
Tuseme balantines kamfumania valuu nani utamwambia bebi kamu baki
Sasa AD kwa kuwa una-remove your sorrow, mi nikuache tu kwani ni vizuri ku-remove sorrow
Hivi sasa ni saa 3:15 PM, bado 1:15 niende counter ya juu.....
Sijui jua limesimama mbona time haziendi?
Babu ana mkongojo au ana kibua??
hahahaha hivi kumbe tumekubaiana leo ni family day....Hivi sasa ni saa 3:15 PM, bado 1:15 niende counter ya juu.....
Sijui jua limesimama mbona time haziendi?
Wajukuu wa siku hizi wamekuwa wabishi. Kizazi cha nyoka. Mmebakia nyie tu wa zamani.
Usisahau kucha za miguuni zimeshakuwa ndefu. Na hakuna anayejua kuzikata vizuri kama wewe.
Za mikononi bibi yako amezikata kwa meno.
Hivi sasa ni saa 3:15 PM, bado 1:15 niende counter ya juu.....
Sijui jua limesimama mbona time haziendi?
Viceroy
Leo vp mixer ya konyagi na red bull? all ya sorrow will be removed? BTW Lulu alikua anakutafuta...!haya mkuu naona count down ya new year ops i mean new week imeanza lol