Yaani na excitement yote ile uliishia kunawa?? Kha!!!!!!!!Nimejiuliza kweli J umeota nini leo hadi kufukunyua hili lol................thanx lov
the baby come back thing didnt happen lol......................... he wasnt on his bended knees.
Kaka we.....tena nlinawa na kusubiria hadi mikono ikakauka. Nway life goes on........ and it must go on lolYaani na excitement yote ile uliishia kunawa?? Kha!!!!!!!!
Nimejiuliza kweli J umeota nini leo hadi kufukunyua hili lol................thanx lov
the baby come back thing didnt happen lol......................... he wasnt on his bended knees.
akunyimaye kunde.... Kakupunguzia mashuzikaka we.....tena nlinawa na kusubiria hadi mikono ikakauka. Nway life goes on........ And it must go on lol
DC............. acha tu kaka yangu but thanx to JF walinifungua macho kwani I was almost........I say almost. Mbona ingekula kwangu??Mhhhh, Pole sana. Sikujua kuwa hii mission ilikuwa na mkakati wa utekelezaji. Nilidhani ni tamthilia. Hata hivyo utakuwa umejifunza kitu na kupata hazina ya next time!!
Mzee DC
DC............. acha tu kaka yangu but thanx to JF walinifungua macho kwani I was almost........I say almost. Mbona ingekula kwangu??
Pole sana na hongera pia. Kila siku ni darasa na wale wanaoweza kulitumia vizuri wamejinyakulia Shahada za maana sana. Siyo zile za majoho na makaratasi bali wameweza kuyaendesha maisha yao katika hali ya ajabu sana.
Natumai wewe ni mmoja wao!!
DC
Nashukuru.......umerudia tena jina la ....??