ai halafu watu wasema we so st.mazuri..
mie umesha nifikisha kileleni hata darasa halijaanza..
haya mie niko kwa nyuma nakufuata ,,
twaenda wapi sasa jamani???
Uza vyote ulivyo navyo...nikabidhi....ila huwezi kuwa st. ukiwa na machozi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ai halafu watu wasema we so st.mazuri..
mie umesha nifikisha kileleni hata darasa halijaanza..
haya mie niko kwa nyuma nakufuata ,,
twaenda wapi sasa jamani???
Afrodenzi,
Vipi leo? naona unacheza Ligi ya Mchangani - Abajaro v/s ??
Uza vyote ulivyo navyo...nikabidhi....ila huwezi kuwa st. ukiwa na machozi....
mie nilicho nacho ni mume wangu TF tu..
Je nimuuze au nikubadhi yeye hahah lol
machozi usijali ntampata mtu wa kulamba lol
Ukigueka nyuma kumwangalia TF unageuka nguzo ya sukari.....narudia safari ya u-st. haitaki machozi.....
mmmhh haya nyuma sigeuki
niseje wafaidisha nyuki bure.mmmmmhhh
mie machozi yangu nitayahitaji kama maji ya kunywa
kwani hii safari inonekana ndefu ,,
kusiwepo na maji wala chakula..
mmmhh hhuuu ni st. ya mbingu au jehanam??
Heheeehehee......una uhaba wa imani???
mmmhh mie nataka tu kuwa st..
basi imani na mengineo ni ziada hahah loll
abajaro vs Kijitonyama star...
hahah lol
vipi na we unataka kwa st???
BE hujaenda zako kingstar????
Najiuliza tu....how do people feel when they are facing this kind of situation..
Umekaa na mtu wako kwa muda, then out of blues akaamua kusitisha mahusiano yenu (wengine kwa mbwembwe/Ugomvi/maumivu) e.t.c but after a while anarudi na kukuomba mrudiane..................
What kind of feelings do people get?? Imeshawahi kukutokea? How did you feel and what was your reaction??
Mapenzi ah......................
Yes Mzuwanda I think we share some common instincts............
But sometimes the feelings are mixed .....kuwa ameniona mie ndo wa kuumizwa but there is that other voice somewhere deep kuwa my be amegundua ananipenda kweli au I was the best...........but the decision depend.
Me kusema kweli huwa I feel so offended..........
Orait.......
kwahiyo mliconclude nini kwenye hii sredi....?
there is nothing like COMING BACK!
BTW:nasubiria kale ''ka-mzigo'' as per your promise
Hope jana ulikula na familia vizuri