Baby Come Back.........

Baby Come Back.........

ai halafu watu wasema we so st.mazuri..
mie umesha nifikisha kileleni hata darasa halijaanza..
haya mie niko kwa nyuma nakufuata ,,
twaenda wapi sasa jamani???

Uza vyote ulivyo navyo...nikabidhi....ila huwezi kuwa st. ukiwa na machozi....
 
Uza vyote ulivyo navyo...nikabidhi....ila huwezi kuwa st. ukiwa na machozi....

mie nilicho nacho ni mume wangu TF tu..
Je nimuuze au nikubadhi yeye hahah lol

machozi usijali ntampata mtu wa kulamba lol
 
mie nilicho nacho ni mume wangu TF tu..
Je nimuuze au nikubadhi yeye hahah lol

machozi usijali ntampata mtu wa kulamba lol

Ukigueka nyuma kumwangalia TF unageuka nguzo ya sukari.....narudia safari ya u-st. haitaki machozi.....
 
Ukigueka nyuma kumwangalia TF unageuka nguzo ya sukari.....narudia safari ya u-st. haitaki machozi.....

mmmhh haya nyuma sigeuki
niseje wafaidisha nyuki bure.mmmmmhhh

mie machozi yangu nitayahitaji kama maji ya kunywa
kwani hii safari inonekana ndefu ,,
kusiwepo na maji wala chakula..

mmmhh hhuuu ni st. ya mbingu au jehanam??
 
mmmhh haya nyuma sigeuki
niseje wafaidisha nyuki bure.mmmmmhhh

mie machozi yangu nitayahitaji kama maji ya kunywa
kwani hii safari inonekana ndefu ,,
kusiwepo na maji wala chakula..

mmmhh hhuuu ni st. ya mbingu au jehanam??

Heheeehehee......una uhaba wa imani???
 
Nikikuambia fumba macho nipe mkono...nifate....unafanya...sawa eh??

mmmhh hapo kwenye fumba macho nipe mkono hapo mmmhhh
inanitisha halafu unataka kuweka wapi tu mkono wangu??
hahahahah lol

kukufuata ntakufuata lakini lazima mcho yangu yawe wazi
mmmhh siwaona kuna mlingoti mbele???
 
mmmhh hapo kwenye fumba macho nipe mkono hapo mmmhhh
inanitisha halafu unataka kuweka wapi tu mkono wangu??
hahahahah lol

kukufuata ntakufuata lakini lazima mcho yangu yawe wazi
mmmhh siwaona kuna mlingoti mbele???

Macho yako unayahifadhi salama....tutatumia macho mawili..ya kwangu......kumbuka a st. got a better vision....
 
abajaro vs Kijitonyama star...

hahah lol
vipi na we unataka kwa st???

images
is equal to
avatar29954_9.gif
 
Najiuliza tu....how do people feel when they are facing this kind of situation..

Umekaa na mtu wako kwa muda, then out of blues akaamua kusitisha mahusiano yenu (wengine kwa mbwembwe/Ugomvi/maumivu) e.t.c but after a while anarudi na kukuomba mrudiane..................

What kind of feelings do people get?? Imeshawahi kukutokea? How did you feel and what was your reaction??

Mapenzi ah......................

...watu kama hawa wananikumbusha Toilet paper na matumizi yake.

big-scar-spider-sitting-on-roll-of-toilet-paper.jpg


Need I say more?
 
Yes Mzuwanda I think we share some common instincts............
But sometimes the feelings are mixed .....kuwa ameniona mie ndo wa kuumizwa but there is that other voice somewhere deep kuwa my be amegundua ananipenda kweli au I was the best...........but the decision depend.

Me kusema kweli huwa I feel so offended..........

MwjOne, ....ni kweli decisions depends. Kwa experience yangu, BCB mara nyingi naichukulia kama kuna hidden agenda! "Baby-come-back" kwenye scenario uliyoizungumzia, ni muhimu kujiuliza hiyo "ressurected l-o-v-e" inafit wapi kwenye angle hii;

lovetriangle.jpg
 
kama treni inarudi nyuma basi we mkubali! ila kama hairudi nyuma.......!Stuka
 
Orait.......
kwahiyo mliconclude nini kwenye hii sredi....?
 
Back
Top Bottom