Baby Come Back.........

Baby Come Back.........

assume baby = serengeti vuguvugu
 
aisee the finest,bigirita na asprine hapo juu ninyi ni WAKAREEEEE
 
tumefikia wapi waungwana? nani ana come back?
 
mmhh babu sijui ni furahi au niendelee kulia..
maana hayo maneno yanachoma sana babu..

Hiyo avatar yako inamliza babu, unaweza kuibadili kwa afya yake.

Ni ombi maalumn kwa mjukuu mziwanda.
 
tumefikia wapi waungwana? nani ana come back?

Mkuu mwenyekiti wetu Kaizer, vijana wameharibika sana siku izi...wanajadili mambo kisiasa bila kuangalia intelijensia

Haya, assume 'BABY' ni ndovu ya kopo, then rudi kwenye hoja ya MJ1

thread closed!
 
Hiyo avatar yako inamliza babu, unaweza kuibadili kwa afya yake.

Ni ombi maalumn kwa mjukuu mziwanda.

mmhhh babu leo namachungu sana babu..
niache tu nilie niyatoe yote ..

ili kesho moyo wangu uwe msafi...

Vipi lakini we wa endeleaje babu yangu kipenzi..
 
mmhhh babu leo namachungu sana babu..
niache tu nilie niyatoe yote ..

ili kesho moyo wangu uwe msafi...

Vipi lakini we wa endeleaje babu yangu kipenzi..

Babu kipenzi ukiondoa kusononeka kwa kukumisi, hajambo sana.

Nasubiria ile ahadi ya mkongojo ulioniahidi.
 
Back
Top Bottom