Baby Madaha jihadhali mapema kabla hajaharibika

Baby Madaha jihadhali mapema kabla hajaharibika

Status
Not open for further replies.

Hashpower7113

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,353
Reaction score
2,142
Hbari zenu ndugu zangu, kuna habar kuwa Juma Nature anatoka kimapenzi na msichana Baby Madaha, hivi punde wamekuwa na ukaribu wa hali ya juu, kumbe kuna mambo yalikuwa wanadili nayo chini kwa chini, imefika hatua hivi sasa kila unapoenda katika shoo anazofanya Nature lazma utamkuta na Baby Madaha na kuchangia kuwa na ukaribu wa hali ya juu na hii imechangia Nature kuwa mlevi wa pombe wa kupindukia coz Baby Madaha nae anatabia hiyo ya kupenda sana mitungi, nawatakia kila la kher katika mahusiano yao sema Baby Madaha anatakiwa kuwa makin na Nature coz akimuacha tu lazma atamtungia nyimbo na kusema mabaya yake kama alivyofanyiwa Sintah

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Duh hii nayo kali!Baby madaha lilivyojichokea bado kumbe kuna watu hawapindui..!!
 
Sisi inatuhusu vipi hapa JF!!

Kwel wew chiz, nafikir kabla hujaingia hapa ungesoma kwanza hili jukwaa linahusu nn, unataka uwandikwe wew? Najua unatafuta umaaruf humu jf

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom