Huyo mp. Mtu wa mitishamba,Jujuman ndo nani tena?
Ukute mke kapigwa bit no mitandao ya kijamii vinginevyo angeshajua, au anajua ila inategemea na mwanaume anavyojitetea hasa kama hakuna ushahidi wa red hendedBasi ndo hivyo nimewaza kweli mke wa jamaa akijua mumewe mlokole anakula mademu mpaka wanamgombea atajisikiaje jamani.
Yani ana mambo ya ajabu na aibu. Kipindi hana hela alikua very humble. Sasa hivi kazipata weeeeee mwanaume ndo kawa yeye. Sema anahonga sana bwana acha warembo wampambanie tu.Nashukuru nishamjua, mweee mweee jamani hiyo Dhambi si inapelekea kutengwa na kanisa jamani, ila mtu mwenyewe ana history chafu!
Hakuna lolote, miss shy ni wa dar?Wanawake wa DSM mkuuu!
Huko"kudanga" huko ndo kunaondoa heshima.Eeeh. Dar maisha marahisi ukiweza kudanga ndo maana wanapambana wasipoteze danga lile.
Mke wake ni wale wanawake wa kilokole ambao ndoa ni kila kitu. Unajua michepuko yote anaitambulishaga kwa wife ili waifu asishtukie jama anaibiwa.Ukute mke kapigwa bit no mitandao ya kijamii vinginevyo angeshajua, au anajua ila inategemea na mwanaume anavyojitetea hasa kama hakuna ushahidi wa red hended
Shinyanga alienda kugombea u miss. Kiswahili cha DSM kabisa kile.Hakuna lolote, miss shy ni wa dar?
Mlokole tapeli.Hapana. Mitishamba hamna bwana ye utapeli na umalaya tu.
Kingu is acting too low na hao macheap side chiks.Hahahahaa
hahaha yule aliyehama ?Baby mama bongo movie na miss Shinyanga wa zamani, girlfriend ana duka la nguo maeneo ya Mkwajuni. Bwana wao mbunge kutoka jimbo moja mkoani Singida.
Aisee! Mungu anamlia timing tu huyo MP, atanyoroshwa muda si mrefuMke wake ni wale wanawake wa kilokole ambao ndoa ni kila kitu. Unajua michepuko yote anaitambulishaga kwa wife ili waifu asishtukie jama anaibiwa.
Mabinti wenyewe sasa duuh hatakama ndio wanafuata hela lakini waache kuchafua ukristu kwa mambo yao ya ajabu, et miss kutoka kwenye familia ya kikristu my foot, atakuwa amedinyana hata na Mchungaji wake huyo mwe!Yani ana mambo ya ajabu na aibu. Kipindi hana hela alikua very humble. Sasa hivi kazipata weeeeee mwanaume ndo kawa yeye. Sema anahonga sana bwana acha warembo wampambanie tu.
Kama ni Kingu ashazoelekaUhalisia kabisa.