Baby Mama na Girlfriend Wanamgombea Mume wa Mtu

Hii mbona ya kitambo sana na miss Shinyanga alijutia na kusema alimkosea mwenye mume?
Sasa league hii ya jana imeanzaa tena. Pale alikua anajiosha
 
Smart si ndo huyo anaemdanga sasa. Kwanza anapendaga wanawake wa mjini wale wanaoliwa na wengi ili aonekane na yeye kidume.
Heeee! Ana kinote book? Limbukeni huyo.Kalambwa korodani. Kavutwa uvuzi wa korodani
 
Hivi kwanini wasichana wazuri huwa wanaishia kuzalishwa na kuachwa? Pole nicole always mchepuko utabaki mchepuko tu
 
Yani ana mambo ya ajabu na aibu. Kipindi hana hela alikua very humble. Sasa hivi kazipata weeeeee mwanaume ndo kawa yeye. Sema anahonga sana bwana acha warembo wampambanie tu.
Hao ndio wale wakitoka kwenye ubunge wanaanza kulia lia kuomba msaada, huku sasa hv pesa wanachezea
 
Hapo ni hela tu,ukute Kingu mwenyewe ana kibamia.
Alitoka na rafiki angu. Akaniambia show yake kawaida sanaaaaaa tena sanaa. Maana alikuaga ananitambi show yake kali blah blah. Siku tumetoka na rafiki angu nikamwambia embu kamle hela huyo. Ndo akaniambia hana kitu kabisa
 
Atakua ni yule mbunge fashionista!wana haki ya kuuana kwa kweli ha ha ha..
 
Vyuma vimekaza Best lazima warembo wachakarike hata kuzipiga. Jina la Mbunge itapendeza Mzigua90.

 
Anahonga kweli. Siku nitajitoa ufahamu na mimi nile hela zake kwanza hata hataondoka nayo. Nambania toka 2014 wakati wengine wanakula bure tu.
Haaaa.danga che bongo DSM. Umlie timing mzigua! Utakuja na mimba.wanalamba asali na ufuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…