Jamaako kapiga kelele.Anasema kama anakula bata ni hela yake. Maendeleo kwa wapiga kura yako palepale.Hapana. Wivu kwa mwanaume ambae nikimtaka kesho tu nampata maana i swala la kujua alipo. Ningemtaka ningemkula kabla hajakutana na hao wengine wote basi tu kipindi kile alikua kachoka sana (natania hata angekua na hela nisingemla bado)
Asubiri bomu lingine.Nimeona bwana. Hahahaahahaa.
Leo nimeamini Mziguatisini una maneno kilo!Mbona mbunge alikua baba ake wa kiroho. Mkewe alitambulishwa yule ni binti yao wanaemlea kiroho. Akampeleka SA kurecord album ya dini akarudi na mimba
Ndio.Utanifundisha