Penye ukweli tuseme Mange anajitahidi sana sana kuchakarika hajajibweteka nguo zake nzuri zinavutia kununuaKila mtu ana haki ya kutumia hela zake jamani, mniwachee NI CHOP VI T SHILLINGS VYANGU BONGOLICIOUS,! Mtu chakeeeee! Nguo nazipenda zile mmmh! Mshahara wote wa mwezi huu nanunua NEW COLLECTION YA MY BONGOLICIOUS HALOOOOOOOO,!
Na sie ndo TWAZIVAAA SI UTANI! Si unajua fashion and tatse zinatofautiana. ? Yale ndo mambo yetu! Hahahahaaaaaaaaa!Awe anauza huko huko au biashara hailipii kulee hahhahhha mi sivaii tunguo twa hivyo nawaachiaa nyieee
Penye ukweli tuseme Mange anajitahidi sana sana kuchakarika hajajibweteka nguo zake nzuri zinavutia kununua
Na sie ndo TWAZIVAAA SI UTANI! Si unajua fashion and tatse zinatofautiana. ? Yale ndo mambo yetu! Hahahahaaaaaaaaa!
Jamani SI PESA YETU TWANUNULIA.? KWA RAHA ZETU,!hahahahahahahha uwiiiiii mbavu zangu mhhhhhh yale magauni mhhhhhhh mwafataga kuuza sura tu wallah guo leeeefu khaaaa kisa cha kujiizeesha hahaha ukipita waonekana wakuja anawapata wapenda sifa usikute mnanunua na kutinga hamtingi
MTI WENYE MATUNDA NDO UNAO PIGWA MAWE SIKU ZOTE,! Sintah (MBA HALOOOOOOOOOOOO,) Ni,eazima usemi wako kidogo hapa, ila nakucredit.
Awe anauza huko huko au biashara hailipii kulee hahhahhha mi sivaii tunguo twa hivyo nawaachiaa nyieee
Penye ukweli tuseme Mange anajitahidi sana sana kuchakarika hajajibweteka nguo zake nzuri zinavutia kununua
Hapa Bongo anauzia nyumbani upanga pale! Kwani katulaImiaha si tumetaka wenyewe? Tena TWAPANGA FOLLENI KABISAAA NA UKICHELEWA UNAKOSA,!Anauziagaa kwenye maduka ya watuu hahhhahhha lol anawaaibishaaa kwelii
hahahaha hongera taratibu basi mkamue kihuruma my kaka lol
Jamani SI PESA YETU TWANUNULIA.? KWA RAHA ZETU,!
umeona eeeeeh dina laki moja unapata vigauni viwili bomba maduka ya kino kitu kipyaaaaaaa
lakini mtu anatoa$$$$$ zake kujionyesha na kutaka kurushwa kwenye blog ya mama boke lol hayo magauni sasa yananiachaga hoi ni marefuuuuuu tolu ana afadhali
Hamjambo binamuz...
Angeenda kujifungulia kule Mayo Clinic ya Rochester, Minnesota si ndio ingekuwa balaa!.
Mimi magauni ndo namsapoti sanaa coz kuna baadhi anashonea huku bongo, watoto wa mafundi cherehani nao wanawnda msalani si haba! Uchumi nao kidogo mashallah!hahaha hongereni mi vingine namsapoti kimtindo mange lakini yale magauni ya kitenge mhhhh najiulizaga mtu ananunua avae wapi
Watu wako bize na teams hapa Mie naburudika kusoma tu he he heeeeee!! Habari za mujini hapa bongo
hahaha hongereni mi vingine namsapoti kimtindo mange lakini yale magauni ya kitenge mhhhh najiulizaga mtu ananunua avae wapi
Hahhhahhhahhha aisee umenivunja mbavuu tunguo twa ajabuu tu kisa wakajitambulishe warushe kwenye blog watu wanajua kujipendekezaaaa sijapata onaaaa
Kumbe wengi mnasoma eee, mnaacheki moviee la bila malipo,sie hatuna team ila wenye team wapoo