Baby Shower ya Shamim Zeze aka Mrs Chonchi

Status
Not open for further replies.
out of topic wadau hivi hii baby shower huwa ina umuhimu na maana gani? coz naona waofanyta hiyo kitu ni watu 2 wenye hela zao cjawah kuskia may b, asha madinda kafanya baby shower.
 
Mtaa wa pili wivu umemkaba. Na bado Linda anamkimbiza vibaya. Haa haaa haaaa nani kanuna??? NGEMA!!!!!!

Jamanii hivii Linda ana blog kama anayo mnuambie kule namchamba kimavii tu
 
Wapiiii Kimambi ivi alifanyaga baby shower.
Kubabake hakufanya baby shoewer ili mumpe FAKE ZONE UCHAFU UCHAFU WENU! Thubutuuuuuu! Amefanya matusi shamim anapanga folleni miaka 8000000!

Kuzalia SINAI CEDARS MCHEZO. ? Walipozalia Kim K, Queen Bey et al!ntena deluxe room! Maza fantaaaaaa! Akavuta na stroller ya $1500 watu KIMYAAAAAAAAA,!

Mama mzungu japo anajikamua ila za uso anatoa vibaya mno!
 

Hahhhahhhhahhhha hospital za mbele zote kalii haijalishi una pesa au huna pesaa utajifunguliaa pazurii tuu,huko haipo hospital mbayaa, hajambo lakin mpare mwenzio
 
Hahhhahhhhahhhha hospital za mbele zote kalii haijalishi una pesa au huna pesaa utajifunguliaa pazurii tuu,huko haipo hospital mbayaa, hajambo lakin mpare mwenzio
Wapiiiiiiii! Mbona wabongo wengine hawaendi SINAI CEDARS na wao kama kina Kim K? Ingekuwa dezo wangejazanaje sasa? Mpaka rate wakagoogle kubabake!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…