Baby Shower ya Shamim Zeze aka Mrs Chonchi

Status
Not open for further replies.
Wapiiiiiiii! Mbona wabongo wengine hawaendi SINAI CEDARS na wao kama kina Kim K? Ingekuwa dezo wangejazanaje sasa? Mpaka rate wakagoogle kubabake!

Hivi kibongo bongo ukienda Agha Khan, Hindu Mandal n.k unapesa eeh wakati kuna watu ni ma office Messenger tu ila ofisi yao inabima za AAR au Jubilee mf na hao hata wakienda kutibiwa Agha Kan wataonekana wanazo na kuwaponda watumishi wa Umma wanaotibiwa na NHIF Mwananyamala lol!
 

Lol! Hivi alipiga picha hiyo risiti ya Stroller ya $1500, tuache kuamini kila yaandikwayo jamani mweh. Hata akinunua La kuchumpa mtajuaje? Kama kawapiga fix.
 
mleta mada hebu tuletee mapicha bana........
 

Hahaaaaaa! Umeenda kibahati bahati au kwa kujipanga BOTTOM LINE IS UMENDA NA MAJORITY WATAISIKIA KWENYE BOMBA
 
Lol! Hivi alipiga picha hiyo risiti ya Stroller ya $1500, tuache kuamini kila yaandikwayo jamani mweh. Hata akinunua La kuchumpa mtajuaje? Kama kawapiga fix.
Si kaandika aina, model na edition, pamoja na nchi ilipotegenezwa na picha juu ya ushahidi ALL WE HAD TO DO IS GOOGLE,! Siku hizi dunia iko kiganjani. Hata kama alijibana miezi 4 alinunua lakini! Lol!
 
Lol! Hivi alipiga picha hiyo risiti ya Stroller ya $1500, tuache kuamini kila yaandikwayo jamani mweh. Hata akinunua La kuchumpa mtajuaje? Kama kawapiga fix.

Maisha anayoishi ni kawaida mnoo alidaiwa laki 8 alipomaliza kujifunguaa,yaan ni sawa na kwa Dr.kilonzo wa Mwanza haipishanii hahahhhhahhhhahha
 
Wapiiiiiiii! Mbona wabongo wengine hawaendi SINAI CEDARS na wao kama kina Kim K? Ingekuwa dezo wangejazanaje sasa? Mpaka rate wakagoogle kubabake!

kule wanatumia insurance mbona Usa hospital zote ni nzuri tu kwa huduma wabongo weng wanaendaga sema hawafanyi matangazo
 
Mange anadai kama siyo yeye Wema asingefika hapo alipofika eti asingejulikana. Wema ana uzuri wake wa kuzaliwa na pia ana bahati ya kupendwa kwa hiyo hata bila ya huyo Mange WEMA angeshine tu. Asijishaue hapa, anapenda sifa kama nini. Mtu mwenyewe kakomaa kama Rambo. MXIUUUUUU.
 

Mbona wema mwenyewe kakubali jamani mange kamtoa. Na mange hajasema bila yeye ila anasema yeye ndio aligundua wema anaweza akafika mbali kwenye mashindano ya miss Tz muacheni jamani muke ya muzungu.
Kama mashauzi yake yanawauma na nyie fanyeni yenu
 
Nilifikiri hii thread ni ya babyshower kumbe sivyo! Hongera mama wa US unanyima watu raha wewe duh! 💁💁💁
 
kule wanatumia insurance mbona Usa hospital zote ni nzuri tu kwa huduma wabongo weng wanaendaga sema hawafanyi matangazo
Weeeeeeeee! Wabongo wenyewe karatasi hawana nfo watakuwa na Diamond package za kufanya show off? Hata kibongobongo wote tunatibiwa Aghacan ila package za insurance zinatogautiana, wrngine wanapima malaria tu! Nyoooooo! IF YOU GOT IT FLAUNT IT,!
 
Hahaaaaaa! Umeenda kibahati bahati au kwa kujipanga BOTTOM LINE IS UMENDA NA MAJORITY WATAISIKIA KWENYE BOMBA

Hahaaa aache basi mashauzi na ako kabima kake kelele kutwa nzima wakati malipo yenyewe ni ya makato ya mwezi.
 
Maisha anayoishi ni kawaida mnoo alidaiwa laki 8 alipomaliza kujifunguaa,yaan ni sawa na kwa Dr.kilonzo wa Mwanza haipishanii hahahhhhahhhhahha
Tupe udhahidi alidaiwa 800,000 maneno matupu hayavunji mfupa! Mernzeni zungu kaliloga lile afu xungu limetoka maisha bora, sio wabongo wengine mnaolewa na wapopo, na black wrnzenu mnakuwa mashauzi hamuwezi kabisaaaa!

Mumewe pale kwao, wanae watajitanuaje sasa na mi benefit ya SIRIKALI YA WATU WA MAREKANI,! Mnalo hiloooooooo!

Mamaaa Sembe picha hatoi tuponde sie.
 
Hahaaa aache basi mashauzi na ako kabima kake kelele kutwa nzima wakati malipo yenyewe ni ya makato ya mwezi.

IF YOU GOT IT FLAUNT IT, ! Kama mnaweza nendeni na nyie SINAI mjibu mapigo. Iga ufe pale! Kasoro Mwamy tu ndo anamuwezea kumjibu.
 
We ndo meneja wake anakulipa ngapi kwa mwezi?

Kimange chenyewe kina wivu kimegombana na mashoga zake wote kuanzia Kisa, Mwamy, Pilot Hilda na wengine kibao kisa wivu na mashauzi yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…