YOU CANT BE FRIENDS WITH SOMEONE WHO WANTS YOUR LIFE ,! by Oprah WinfreyKimange chenyewe kina wivu kimegombana na mashoga zake wote kuanzia Kisa, Mwamy, Pilot Hilda na wengine kibao kisa wivu na mashauzi yasiyo na kichwa wala miguu.
Hahaaaaaaaa! Mimi ni SHABIKI MAANDAZI NATIWA HAMIRA KIDOGO NAUMUKA SINIA ZIMA, ! Upo hapo bibi?
Tupe udhahidi alidaiwa 800,000 maneno matupu hayavunji mfupa! Mernzeni zungu kaliloga lile afu xungu limetoka maisha bora, sio wabongo wengine mnaolewa na wapopo, na black wrnzenu mnakuwa mashauzi hamuwezi kabisaaaa!
Mumewe pale kwao, wanae watajitanuaje sasa na mi benefit ya SIRIKALI YA WATU WA MAREKANI,! Mnalo hiloooooooo!
Mamaaa Sembe picha hatoi tuponde sie.
IF YOU GOT IT FLAUNT IT, ! Kama mnaweza nendeni na nyie SINAI mjibu mapigo. Iga ufe pale! Kasoro Mwamy tu ndo anamuwezea kumjibu.
Weeeeeeeee! Wabongo wenyewe karatasi hawana nfo watakuwa na Diamond package za kufanya show off? Hata kibongobongo wote tunatibiwa Aghacan ila package za insurance zinatogautiana, wrngine wanapima malaria tu! Nyoooooo! IF YOU GOT IT FLAUNT IT,!
Shamim kapendeza mashallah! MUNGU amfikishe salama. Hivi hizi baby shower huwa zinafanyika wiki ngapi kabla ya kujifungua?
Kwani ndiye mbongo pekee aliyetibiwa hapo aache ulimbukeni kwa kulazimisha ucelebrity
Beyonce alikod hospitali nzimaa,na yule pesa kwake ni chafuu,je huyo bibi mkomao alikodiii hospital yotee hahhhahhhahha team zakee maskin mnooo
Mtotoo mashaalah kapendezaaa kwelii na uzuri nao unachangiaaa
hahhaaaaaaa Mr sembe anamsubiria mdada wa US alisema akirudi
ama zake au za bidada
Duu hapa leo jamani