Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
ππππππ tuko paleeePenz lisichache cute...likichacha kwa ninavyokujua..atajuta huyo jamaaπ
Penzi lipashwe moto mara kwa mara. Likitolewa kwenye kuni liwekwe kwenye mkaa. Likitolewa kwenye mkaa liwekwe kwenye jiko la mafuta ya taa. Likitolewa huko liwekwe kwenye friji. Likitolewa huko lipashwe kwa gesi, na baadae liwekwe kwenye microwave, litachacha saa ngapi?Penz lisichache cute...likichacha kwa ninavyokujua..atajuta huyo jamaaπ
β€β€β€β€β€kabisa,mapenz ni kujitoa mhanga kama kweli huyo mtu hutaki apotee.Penzi lipashwe moto mara kwa mara. Likitolewa kwenye kuni liwekwe kwenye mkaa. Likitolewa kwenye mkaa liwekwe kwenye jiko la mafuta ya taa. Likitolewa huko liwekwe kwenye friji. Likitolewa huko lipashwe kwa gesi, na baadae liwekwe kwenye microwave, litachacha saa ngapi?
Tatizo letu tunataka penzi lijichunge lenyewe. Penzi ni kama maji, linabebwa kwa mikono miwili ya upendo
πππππππππππ tuko paleee
Penzi lipashwe moto mara kwa mara. Likitolewa kwenye kuni liwekwe kwenye mkaa. Likitolewa kwenye mkaa liwekwe kwenye jiko la mafuta ya taa. Likitolewa huko liwekwe kwenye friji. Likitolewa huko lipashwe kwa gesi, na baadae liwekwe kwenye microwave, litachacha saa ngapi?
Tatizo letu tunataka penzi lijichunge lenyewe. Penzi ni kama maji, linabebwa kwa mikono miwili ya upendo
[emoji23][emoji23][emoji23]Penz lisichache cute...likichacha kwa ninavyokujua..atajuta huyo jamaa[emoji134]
π[emoji23][emoji23][emoji23]
ππKawimbo katamu lakini