"Baby tangulia utandike nakuja"

Best inaonyesha unapenda minyanduanoo. Anyway kama hajatulia hajatulia tu hata umpe vya uvunguni kila siku. Mapenzi hayaitaji u serious sana, kama ni wako ni wako tu by any means en vise versa........
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kumbe ndio maana unakomaa na ule uzi wa Insider sio? πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜†πŸ˜†
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚ Tatizo watu wanachukulia mahisiano serious sana ndo maana wanaishia kutiana vilema visivyotarajiwa. Mtoto wa mwanamke mwenzio unataka umtreate kama wako ndo tunapofail
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…