Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,591
- 6,114
Hivi PASSO ndio kutoka MWANZA hadi DAR zinatumia mafuta ya 7800/- Heshima kwako cutelove a.k.a magallah r, a.k.a MAGACHA, magacha familyPasso ni pasua kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi PASSO ndio kutoka MWANZA hadi DAR zinatumia mafuta ya 7800/- Heshima kwako cutelove a.k.a magallah r, a.k.a MAGACHA, magacha familyPasso ni pasua kichwa
mods inabidi wazi merge izi IDsHivi PASSO ndio kutoka MWANZA hadi DAR zinatumia mafuta ya 7800/- Heshima kwako cutelove a.k.a magallah r, a.k.a MAGACHA, magacha family
Unalitazama tu coz baby walker ni za watoto kuendeshea nyumbani.Nipo mitaa ya Ubungo blaza.
Tafadhali niunganishe na fundi mzuri.
Nakosa kabisa raha ya kuendesha gari langu. Yaani nikitoka nje nalitazama hivi nasikitika.
Mkuu umeandika vizuri ila navyojua mimi hata engine iwe off, brakes zipo sema unahitaji kuvumia nguvu kidogo wakati unazikanyaga.Mkuu... Heshima yako kwanza.
Story iko hivi.
Gari za siku hizi (zinazotumia umeme) ili iwake (ignition) lazima gear iwe kwenye Parking au Neutral.
Sasa tatizo ni kuwa Parking haioneshi, maana yake the only option ni kuwasha gari ikiwa kwenye Neutral.
Haya, unasema kukanyaga brake, brake za gari ya umeme haifanyi kazi kama gari haijawaka.
Na ndio maana ukijaribu kukanyaga brake wakat gari imezima utaona kabisa brake pedal haishuki chini. Mpaka engine iwake.
Kwahiyo nawashaje gari:
Naingia, nachomeka funguo, naweka Neutral (Foot Brake Haina kazi hapa, maana gari imezima), kisha nazungusha funguo. Kama gari ilikua kwenye mteremko lazima isereke kidogo kisha inasimama kwa msaada wa 'Hand Brake'.
Kuserereka nakomaanisha ni pale gari haijawaka, ndio umeweka Neutral unataka uiwashe sasa. Kumbuka hapo foot brake haifanyi kazi maana engine haijawaka bado.
Eee ila ukHivi PASSO ndio kutoka MWANZA hadi DAR zinatumia mafuta ya 7800/- Heshima kwako cutelove a.k.a magallah r, a.k.a MAGACHA, magacha family
Ukipata pistoni 4 iko fresh haina magonjwa gonjwaEee ila uk
Hamisi ntu makiniUzuri jamaa yupo Shekilango pembeni ya Rombo Bar pale.
Kama una muda kesho nenda akuchekie. Ila likija swala la kubadirisha vimiminika peleka sehemu husika au kanunue mwenyewe. Usiwaachie hao jamaa.
Hamis Fundi (Shekilango): +255714504214
Nenda nalo mwenye pale gereji kwake Shekilango. If possible ongea nae sahivi mwambie kanipa jamaa wa Runx.
Sijaelewa hata shida ni gari au demu [emoji16]
Mtoa mada kaandika IST/Passo maana yake ni moja wapo Kati ya hizo na ame weka wazi sababu ya kuandika hivi comment za juu hapohuyu mtu sijamuelewa,anazungumzia tatizo la IST then anasema IST Passo
kuna gari inaitwa IST Passo? au anamaanisha gari zote mbili zina tatizo moja
AndamanaMtoa mada kaandika IST/Passo maana yake ni moja wapo Kati ya hizo na ame weka wazi sababu ya kuandika hivi comment za juu hapo
Wewe mkosoaji Una andika ISTPasso huoni wewe ndo huja elewa nini kime andikwa hapa ili hali kutaka kuonesha ndo Una fahamu zaidi haya magari
Babywalker nayo ni gari ya kuja humu kweli kuomba msaada?.Si una nunua nyingine tu.Babywoka yangu (IST/Passo)
Tatizo la kwanza limeanza juzi:
Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye dashboard.
Yaani 'Parking' haionekani kwenye dashboard ingawa gear ipo kwenye Parking. Gear zingine zote zinaonekana. Nikizungusha funguo niwashe (ignition) haiwaki, mpaka nipeleke kwenye 'Neutral' ndio inawaka.
Tatizo la Pili (Limeanza Leo):
Nalo linahusiana na Mambo ya gear, sema ni wakati naendesha (nipo kwenye mwendo).
Kuna muda nikiwa naendesha (nipo kwenye D) nikakanyaga mafuta kuongeza mwendo zaidi gari inapiga kelele za Race gyyyyyyym.
Ni ile sauti ya ukikanyaga mafuta gari ikiwa kwenye parking. Sasa mimi naisikia nikiwa kwenye mwendo.
Hii imenitokea mara mbili, na inapotokea inabidi niachie mafuta kisha nikanyage tena mdogo mdogo ndio inarudi kwenye hali ya kawaida.
Wakuu, haya matatizo mawili yatakua na uhusiano? Yanaweza kuwa chanzo ni kitu gani? Spark plugs, Coil, nozzle, transmission fluid ama yaweza kuwa Nini wakuu.
Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)
Na hiyo ya kupiga resi (kupoteza gear ghafla) napokua nakanyaga mafuta kuongeza mwendo.
mmh ulimtoa wapi wa dizain hiyo..mpaka mabaunsa!! ulimfanyia nini?Anafaham eneo naloishi. Lakin exact mtaa haujui. Na anajua nina gari ndogo.
Kwa msala ule aliniachiaga mpaka kunitumia 'ma-baunsa' aisee niko chonjo.
Kuna mali alikua anauza, tukaelewana fresh nikamtumia advance (nusu ya pesa). Akaanza kuniletea uswahili, Sasa sijui ndio alitaka kunitapeli au vipi.mmh ulimtoa wapi wa dizain hiyo..mpaka mabaunsa!! ulimfanyia nini?