'Baby walker' yangu inataka kunipasua kichwa!

Mkuu umeandika vizuri ila navyojua mimi hata engine iwe off, brakes zipo sema unahitaji kuvumia nguvu kidogo wakati unazikanyaga.
Ukipark gari kwenye muinuko hand brake/ parking brakes ndo zinatakiwa kulifanya gari lako lisiserereke na sio gear ya parking, Hiyo ipo hapo kama assuarance kuwa gari haliendi popote.
Kutumia "P" kulishikilia gari lako kwenye muinuko kunawezekana ndo chanzo cha matatizo hayo.
Mimi nikikupa gari ukarudisha umepark bila kuweka hand brake, siku nyingine hulipati!
 
Hamisi ntu makini
 
huyu mtu sijamuelewa,anazungumzia tatizo la IST then anasema IST Passo
kuna gari inaitwa IST Passo? au anamaanisha gari zote mbili zina tatizo moja
 
huyu mtu sijamuelewa,anazungumzia tatizo la IST then anasema IST Passo
kuna gari inaitwa IST Passo? au anamaanisha gari zote mbili zina tatizo moja
Mtoa mada kaandika IST/Passo maana yake ni moja wapo Kati ya hizo na ame weka wazi sababu ya kuandika hivi comment za juu hapo

Wewe mkosoaji Una andika ISTPasso huoni wewe ndo huja elewa nini kime andikwa hapa ili hali kutaka kuonesha ndo Una fahamu zaidi haya magari
 
Andamana
 
Babywalker nayo ni gari ya kuja humu kweli kuomba msaada?.Si una nunua nyingine tu.
 
Anafaham eneo naloishi. Lakin exact mtaa haujui. Na anajua nina gari ndogo.
Kwa msala ule aliniachiaga mpaka kunitumia 'ma-baunsa' aisee niko chonjo.
mmh ulimtoa wapi wa dizain hiyo..mpaka mabaunsa!! ulimfanyia nini?
 
mmh ulimtoa wapi wa dizain hiyo..mpaka mabaunsa!! ulimfanyia nini?
Kuna mali alikua anauza, tukaelewana fresh nikamtumia advance (nusu ya pesa). Akaanza kuniletea uswahili, Sasa sijui ndio alitaka kunitapeli au vipi.

Daaah namie mtoto wa mjini bana, nikaumiza kichwa nikaja kutumia mbinu za kibaharia akajikuta kapigwa karibu mara nne ya pesa nilomtumia mwanzo heheheee...

Alipogundua sasa ikawa msako bin msakuzi, hadi leo. Sema uzuri hanijui kwa sura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…