Inawezekana dhana ya wachezaji kupitia jeshini ikawa sahihiKama ni kweli basi na iwe hivyo. Jamaa ni mpambanaji haswa he deserve! Tungepata wachezaji 5 kama yeye kwenye kikosi cha stars huenda tungesonga hatua nyingine
Kabisa mkuu.... management ya Yanga ni ya kisomiIla huyu dogo ana kipaji aisee. Na kwa kweli Yanga wanahitaji pongezi kwa kumpa mkataba wa muda mrefu. Maana huo mkataba utawalipa bila shaka.
[emoji23][emoji23]Mpambanaji Kama bacca ni halali kwake kwenda ulaya Hata aanze na timu ya kawaida ligi daraja la kwanza apande Mpaka timu kubwa za ulaya .
Wa Zanzibar wenzake wapo England wamuunganishie timu ulaya Kama mwenzake abdala shaibu alipokuwa La galaxy .
Watoto wadogo wakiona mifano Yao watataka nao wawe Kama wao , sio sasahivi mtaani watoto wanataka kuwa Kama Diamond , harmonize , marioo nk upuuzi mtupu mfyuuuu.
Labda De Bruine wa Keko Mtongani.Fei wanaharibu tu kiwango chake, ilibidi akagombanie namba ya de bryune
Tunampenda sana, ni ndunducha letu ndio maana bado tunaye!Hata tulipowaambia bocco badao yupo simba...hamkuamini[emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hata de bruyne angekuwa anacheza yanga angekuwa wakawaida tu. Fei toto ana kipaji kikubwa sanaLabda De Bruine wa Keko Mtongani.
Kocha wa Timu ya Taifa ya Gambia (zamani alikuwa Kocha wa Yanga) ameshangaa alipoambiwa Ibrahim Bacca ni mchezaji wa Yanga. Vilevile Kocha wa Timu ya Zesco ya Zambia George Lwandamina "Chicken" amesema kuwa mfungaji wa goli la kusawazisha la Timu ya Zambia Patson Daka asingefunga iwapo angekabwa na Ibrahim Bacca. Kwa kweli jamaa anapambania sana Taifa lake.Huyu jamaa anajua kazi yake vizuri. Ni beki wa kazi hasa na hana vitu vingi bali anafanya vitu vya msingi tu anavyotakiwa beki kufanya basi. Sidhani kama atakuwa Yanga muda mrefu maana kama sio Januari hii basi dirisha kubwa ataondoka. Kila la heri kwake.
Kama ni kweli ni jambo jema, ila na Job angepewa pale kwa Mwanyeto naamini naye angeuza jina.Inaelezwa kuwa klabu kadhaa kutokea Barani ulaya ikiwemo bayern leverkusen zimevutiwa na uwezo wa mlinzi wa Taifa Stars, Ibrahim Bacca anaechezea Yanga SC.
Klabu zinazotajwa zaidi ni kutokea nchini Ubelgiji, Italy na Ufaransa inawezekana muda wowote ofa ikatumwa pale Jangwani Kwa ajili ya kumng'oa nyota huyo.
Bravo scout wa Yanga [emoji1628]View attachment 2882137
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kweli tumuombee ulaya beki au kipa kununuliwa ni ngumu sana. Japo hata hizi fununu zitosha kuonyesha kuwa ni mchezaji mzuri.Ngumu sana hii japo na wish iwe kweli
huyu atazeekea hapa hapa utopolo. hifadhi hii commentHuyu jamaa anajua kazi yake vizuri. Ni beki wa kazi hasa na hana vitu vingi bali anafanya vitu vya msingi tu anavyotakiwa beki kufanya basi. Sidhani kama atakuwa Yanga muda mrefu maana kama sio Januari hii basi dirisha kubwa ataondoka. Kila la heri kwake.
Kwa kipi?? Huyo Bacca anakuwepo na mnakandwa...tuliza wenge..Nyie endeleeni kusajili wazee
Mnara wa 5 [emoji113]G utakuja tena
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Jobu nae ni mtu sanaKama ni kweli ni jambo jema, ila na Job angepewa pale kwa Mwanyeto naamini naye angeuza jina.
Najua kimoyo moyo unaogopa [emoji23][emoji23]Kwa kipi?? Huyo Bacca anakuwepo na mnakandwa...tuliza wenge..
Walimtafutia AzamNashangaa watu wanaotafutiaga watu team hawajawahi kumtafutia team fei toto
Umri wake tafadhaliJapo hakuna uhakika wa hii taarifa ila kiukweli huyu Baca namtabiria makubwa sana lazima atakuja kuuzwa timu kubwa tu.