Bacca jifunze Kingereza kuondoa fedheha kama ya leo

Kipigo cha goli 5 unaleta chuki binafsi Kama sio kina bacca ungetembea mkono 🖐🏿mungine jana .
Wewe mechi jana uliona au ulisimuliwa?
 
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Hebu hiyo "Uruke mpira" iweke kwa Kingereza, maana ww ndiye ulisikia.
 
Acheni ushabiki wa kipumbavu unawafanya mdhihirishe mlivyojaza kinyesi kichwani. Samata Mswahili anakwendaje kumwambia Bacca Mswahili Kwa kiingereza? Mwanzo nilikuona bonge la mwanasoka kumbe Mburula tu?
Nakupa pole kama uliwahi kumzingatia huyo pimbi
 
Kipigo cha goli 5 unaleta chuki binafsi Kama sio kina bacca ungetembea mkono [emoji1616]mungine jana .
Wewe mechi jana uliona au ulisimuliwa?
Una uhakika Mimi ni simba?
 
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
TFF iwaunganishe na taasisi mbalimbali za kuwajengea uwezo wachezaji wa kitanzania.
 
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Wewe ulisikiaje na hukuwa nao uwanjani...??😛😛
 
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Pumba tupu!
 
Skip, Bacca akajua kaambiwa piga
Mkuu mbinu za mpira kwa sasa zinajumuisha pia kucheza na saikolojia ya mpinzani inawezekana walikua wanacheza na akili za mpinzani tu ili kuwazubaisha wafikirie mpira anapiga samata ingekua ni kweli samata alitaka bacca auluke mpira angemnong'oneza au angemwambia kwa kiswahili lugha ambayo waarabu hawaielewi hata ivyo bacaa ni mpigaji mzuri wa mashuti ya mbali nishamuona mara chache akifanya ivyo anapokua yanga kupiga mnazi kwa umbali ule ni kawaida kumbuka hakimi alipaisha kabisa tena penati
 
Skip, Bacca akajua kaambiwa piga

Issue kubwa ni kuwa Yanga bila hirizi hawawezi kitu! Ndio maana mchezaji yeyote wa Yanga, hawezi kucheza vizuri nje ya Yanga. Wakina Fei, Bangala n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…