🤣🤣🤣🤣 apa duniani kuna vituko na vituko vyenyeweUshauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Samata kiswahili kasahau
Umemchekesha -UKIMWI-🤣🤣🤣Samata kiswahili kasahau
Hakuwa na HIRIZI tuMkuu mbinu za mpira kwa sasa zinajumuisha pia kucheza na saikolojia ya mpinzani inawezekana walikua wanacheza na akili za mpinzani tu ili kuwazubaisha wafikirie mpira anapiga samata ingekua ni kweli samata alitaka bacca auluke mpira angemnong'oneza au angemwambia kwa kiswahili lugha ambayo waarabu hawaielewi hata ivyo bacaa ni mpigaji mzuri wa mashuti ya mbali nishamuona mara chache akifanya ivyo anapokua yanga kupiga mnazi kwa umbali ule ni kawaida kumbuka hakimi alipaisha kabisa tena penati
Pumba zaidi!Sawa mama samia
Mwasibu!!!Hapo ni bila hirizi
Kumbe nilijipotosha ni mlugaluga halisi.Nakupa pole kama uliwahi kumzingatia huyo pimbi
Kumbe Samata anaweza kuwa mjinga kiasi hicho? Yaani amwambie Bacca aruke mpira kwa kingereza ili wapinzani wao wasikie ila asimwambie kwa Kiswahili ili wapinzani wao wasisikie.Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake cha halali akiwa hana HIRIZI pia suala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA.
Mashabiki wa simba wana ufala fluni hivi, ukiwambia ukweli wanindUshauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake cha halali akiwa hana HIRIZI pia suala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA.
Kama hirizi ndiyo inayocheza mpira kwanini na nyie msizitafute hizo hirizi? Unatolea mfano wachezaji waliyondoka vibaya, vipi Mayele aliyendoka Yanga kwa kuachana kwa wema vipi huko alipo hafanyi vizuri?Issue kubwa ni kuwa Yanga bila hirizi hawawezi kitu! Ndio maana mchezaji yeyote wa Yanga, hawezi kucheza vizuri nje ya Yanga. Wakina Fei, Bangala n.k
jamii forum na Facebook ni sawa tu kwasasaNiliamini JF ina GT watupu kumbe siku hizi ni kokoro.
Sijasema nina akili ila kuanzia thread zinazoletwa kwasasa na coment zake ni Facebook tupu...jf ilikuwa zamani hakika ilikuwa home of great thinkerUnajiona una akili sana sio
Mbona utopolo ndo ccm hadi nguo zinafananamakolo bhana hamna tofauti na ccm na ccm haina tofauti na mchawi.
Kama hirizi inamuwezesha kucheza vizuri sioni ubaya akiitumia, ni sawa tu wanaovaa rozali wakiamini kuna kitu inawasaidia.Hakuwa na HIRIZI tu
Najua nduguMimi sio simba
Nimecheka sana. Sidhani kama ni kweli, lakini hata mimi nilishangaa sana yeye kuipiga ile faulo. Sijawahi kuona akikabidhiwa hilo jukumu hata kwenye level ya klabu.Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake cha halali akiwa hana HIRIZI pia suala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA.