Mwambie akasome akimaliza atajua wapi pa kujishikiza cha msingi awe na cheti as u know kama shahada ni mpya ajira at first zinakuwa za tabu kiasi ila kwa maisha ya sasa kazi c degree yako bali uwezo wa kudeliver au who u know aliye katika channel mfano degree ya sociology,kilimo anafanya kama bankteller nk kuna relation hapo?ila maisha yanaenda