Marahaba kajukuu, bethdei yako nakubuku nirushe sredi aisee! Utanipa?
Aaaah babu ngoja niwashort list mshafika watatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba kajukuu, bethdei yako nakubuku nirushe sredi aisee! Utanipa?
Wivu sina lakini roho inauma. Asante nitakwambia mapemaaaa kama miezi miwili bado. Na mimi nabuku yako kabisa
Aaaah babu ngoja niwashort list mshafika watatu.
Ha ha ha ha umenichekesha kura tena??? Kweli kazi ipo
He!
Babu hana mashindano....Babu hana mpinzani.....babu hapendi ugomvi..... Babu amejitoa.... Anawatakia heri hao wawili waliobakia. Babu atakuwa anagawa thanks tu!
Huyo huwa anaongea vingine vitendo vingine toa mashaka kabisa kwake
Napita tu naenda zangu LubumbashiBabu huna kamati, babu usijitoe ntaliaaa, da Dena mwambie babu asijitoe. Babu wewe ndio kila kitu wengine masharobaro.
Babu huna kamati, babu usijitoe ntaliaaa, da Dena mwambie babu asijitoe. Babu wewe ndio kila kitu wengine masharobaro.
![]()
happy birthday Bacha
Napita tu naenda zangu Lubumbashi
Na aliyekudanganya babu kajitoa ni nani? Labda uibadili hiyo avatar....LOLZ! Am in love with your avatar!
Akutwala ekilo omusima omushanaWasalimie huko uendako
Na biso na bisoLubumbashi?? Jambo mobali ya ngenge!