Bachelor degree of Human resourse managment, Naombeni msaada hii facult.

siku hizi watu wanajiajiri wenyewe ,ukimaliza chuo unaomba mkopo unaazisha biashara.
sasa wewe unasoma HR utakuja kumfanyia nani usahili?

kwa hiyo kazi ya HR ni kufanya usahili? Kama hujui kitu tulia siyo unatapika tu humu.
 

nashukuru sana mkuu.. unenipa matumaini..
 
Mkuu usiwe na wasi wewe nenda kasome tu by the time uko semister ya kwanza au ya mwisho ya mwaka wa tatu akili yako itakufanya utambue wapi uelekee maana ni kipindi cha kutafakari hatma ya maisha baada ya kula good times na beibes na washkaji..chuoni asikudanganye mtu sijui ufaulu,GPA, ndo nin na nin ni Mungu wako na bahati uliyonayo ndo vitakutoa..over..!!
 
we ni mwanaume wa kweli sio hao wanaompiga majungu huyo jamaa, kama hawawezi kutoa ushauri ni bora wakae kimya na sio kuongea mashudu.
 

Hapo umemjibu vema nahisi atakua anaumwa ubongo sio kosa lake kila kozi ina ajira
 
Siku zote mfuko mmoja wa sukar haubadilishi ladha ya bahari.. Nawashukuru sana wadau mlionielewa na kunishauri Mema.. ila pia ukishinda mbio usijisifie.. msifie na yule anayekukimbiza.. wote pia mlioibeza hii thrds nawashukuru pia..

Usi mind sana! Unastahili kupewa majibu kama hayo coz swali ulilouliza lilifaa kuulizwa na mwanafunzi wa kidato cha kwanza. hivi kwa nini hukuuliza kabla huja apply? .maprof watapata taabu sana kuwafundisha, naona vijana wengi sana waliochaguliwa kujiunga vyuo mbalimbali wanauliza maswali ya kitoto kabisa humu.
 
kwa hiyo kazi ya HR ni kufanya usahili? Kama hujui kitu tulia siyo unatapika tu humu.

ahaa!!! kumbe unaogopa changamoto ee!!!...soma kwa malengo kijana usifuate mkumbo.chezea elimu wewe.msike elimu usimwache aondoke ndo mkate kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…